DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu voice from within
 
Kama ni kweli kulikuwa na mpango huo basi umedhamiria kumharibia jamaa asiipate hiyo nafasi,huu ni uchawi kabisa umefanya.

Au labda kama unaamini kuwa hatoshi kwenye hiyo nafasi hivyo umelisaidia taifa kupata boss wa wavaa miwani asiye na sifa.
Mh
 
Mbona unaogopa mkuu. Sisi tunakujua kama ni TISS.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…