DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama ni kweli kulikuwa na mpango huo basi umedhamiria kumharibia jamaa asiipate hiyo nafasi,huu ni uchawi kabisa umefanya.

Au labda kama unaamini kuwa hatoshi kwenye hiyo nafasi hivyo umelisaidia taifa kupata boss wa wavaa miwani asiye na sifa.
 
Mkurugenzi wa Usalama anaenda kuondolewa kwa kushindwa kuzuia ufisadi ?

Hujui chochote.

Toka uhuru, na zaidi kuanzia Mwinyi administration, Usalama wa Taifa unaongoza nchi hii kwa ubadhilifu, ujambazi wa mali ya umma, ule wa halali ya kupeana ( employmemt perks) na ujambazi wa wazi wazi (blatant embezzlement). Haya yote hufanyika chini ya pua ya Ikulu, ambayo ina fungu lisilohasibiwa, black budget.

Wakurugenzi Wakuu wa Usalama, na wale wa idara ndani ya TISS tunawajua binafsi, tumeishi nao, ni baba zetu, ni baba wakwe, ni wajomba, ni family friends. Ujangili wao upo machoni petu.

Kwa wewe kusema Mkurugenzi anaenda kuondolewa kwa sababu ya kushindwa kusimamia kukithiri kwa wizi sehemu mbali mbali serikalini inaonyesha hujui chochote cha TISS wa nchi hii, wala ofisi kuu yao, IKULU.

Mtu asiyejali wizi anawezaje kumfuta kazi mwizi kwa kushindwa kupambana na wizi ?
 
Mkurugenzi Usalama anaenda kuondolewa kwa kushindwa kuzuia ufisadi ?

Hujui chochote.

Toka uhuru, na zaidi kuanzia Mwinyi administration, Usalama wa Taifa unaongoza nchi hii kwa ubadhilifu, ujambazi wa mali ya umma, ule LU.
Niltaka kumwaga data ili kupingana na Hoja za mleta mada, lakini nimeona isiwe tabu na nikaacha kufanya hivyo.
Naona wewe umeanza kuchokoza mada, natumaini kwamba members wengine zaidi watakuja hapa kutoa shuhuda zao.
Thanks for that.
 
Back
Top Bottom