DOKEZO Mombo Seleman kuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa (TISS). Aliyepo anafukuzwa muda wowote

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Uongo na Uzushi, siyo.?
 
Pascal Mayalla chutama Muungwana
 
Sasa ukitaka awape Vatican ili watuuzie misalaba??

Sasa sisi misalaba ya kazi Gani Kwa mfano.
 
Mtoto wa nyoka ni nyoka.
 
Si ni kweli na wewe Ndio ulitueleza, pale Rombo - natania Kaka
 


Wewe lazima unakula keki ya taifa si bure. Kila unachosema sami100 anafanya. Sema watu wenyewe machawa ndo maana wanafukuzwa. Uchawa una mwisho wake mara nyingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…