Moment ambayo hauwezi kuisahahau

Moment ambayo hauwezi kuisahahau

NYEKUNDU YA BIBI

JF-Expert Member
Joined
Oct 27, 2017
Posts
2,301
Reaction score
2,977
Katika maisha yangu siwezi kusahau siku ambayo nilikua jkt 821 kj Bulombora Egle coy mujibu wa sheria nikiwa katika harakati za hapa na pale za usumbufu wangu nakujikuta mjanja.

Nilikua mzee wakudoji sana basi siku hio nikawa nimechaguliwa kwata kwa kua nimrefu hivi nikawa right maker chini ya afande Ali na afande Mbaga bhasi siku hio ilikua siku ya mateso makali sana kwangu.

Sikujua hata kugeuka nyuma geuka na vile Niko mbele nikikosea kiboko cha mgongo mwendo wa pole chenga siwezi right maker huyo.

Kesho yake nikaingia mitini nikaenda zangu kuogelea bhasi jioni tukafoleni kumbe wameandika majina waliokua kwata na sehem zingine kama singe N.k

Bhasi mzee mzima nikakamatika nikaulizwa wewe ulikua kitengo gani nikajibu singe nikasimamishwa nikauliza tuoneshe kidogo hio singe imachezwa vipi daaaah
hahahahahahaaaaa!!!!!!!

Nilikula mbarati nakuning'inizwa kama chapati singe nilirusha ile fimbo kama nawinda kwale kumbe singe ina step zake mzee

Coy nzima ilikua ni furaha na vicheko vikali nikatundika mpaka miguu na mikono vikataka kukatika.

Ila siku ile nilikua kituko cha coy uzuri ilikua usiku ko sikuonekana sana na wananzengo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baraka Issack Msomba Nikapewa jina mzee wa singe [emoji23][emoji23]nikapewa na u K.O kazi za ovyo ovyo ila bonge lakitengo hili nilikua nakula usingizi wakutosha nakula tano zanguvu hadi kandambi kwa mbali kalianza kusogea
NYEKUNDU YA BIBI, We Nanga ,Nimecheka sana
Enzi hizo tukidoji tulikua tunakimbilia kitengo na kuponi ya mzabuni tunapata bila chenga
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu
Baada ya kupitia huko mmepata faida ipi mpaka sasa ?
Faida zake kwanza ni imeniongezea confidence sana,huwa najiambia kama niliweza Kupiga push up kwenye mchanga,kubeba dunia nk,sitoshindwa kukabiliana na hili pia.

2)pia ni uvumilivu na kucontrol hasira,naweza ishi maisha yoyote sehemu yoyote iwe msoto ama raha,kuchukulia poa mtu anapokuudhi.

3)nimepanua wigo wa marafiki na kwa mara ya kwanza kuwa na interaction na jinsia tofauti ilikua jeshini (nimesoma na girls tupu vidato vyote ) sikuwahi kuamini kama wakaka na wadada msio ndugu mnaweza kujichanganya pamoja bila lolote kutokea,kumbe inawezekana bana tena vizuri tuu[emoji3][emoji3]

Afu wadogo zangu wakinizingua tu ni wanachumpa(kichura),push ups kidogo naeenjoy[emoji3]

Bad thing ni kwamba nilipata kuwa na lugha mbaya aisee,yaani kutaja taja hivi viungo vya kike,kiume live ilikua kawaida sana,na sitosahau nilivokosea sms niliyokua namtumia Kuruta yenye maneno maneno, ikaenda kwa mshua yaani nomaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Faida zake kwanza ni imeniongezea confidence sana,huwa najiambia kama niliweza Kupiga push up kwenye mchanga,kubeba dunia nk,sitoshindwa kukabiliana na hili pia.

2)pia ni uvumilivu na kucontrol hasira,naweza ishi maisha yoyote sehemu yoyote iwe msoto ama raha,kuchukulia poa mtu anapokuudhi.

3)nimepanua wigo wa marafiki na kwa mara ya kwanza kuwa na interaction na jinsia tofauti ilikua jeshini (nimesoma na girls tupu vidato vyote ) sikuwahi kuamini kama wakaka na wadada msio ndugu mnaweza kujichanganya pamoja bila lolote kutokea,kumbe inawezekana bana tena vizuri tuu[emoji3][emoji3]

Afu wadogo zangu wakinizingua tu ni wanachumpa(kichura),push ups kidogo naeenjoy[emoji3]

Bad thing ni kwamba nilipata kuwa na lugha mbaya aisee,yaani kutaja taja hivi viungo vya kike,kiume live ilikua kawaida sana,na sitosahau nilivokosea sms niliyokua namtumia Kuruta yenye maneno maneno, ikaenda kwa mshua yaani nomaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha sasa mkuu nichanganyie hii chai na alkasusu basi😛
 
Faida zake kwanza ni imeniongezea confidence sana,huwa najiambia kama niliweza Kupiga push up kwenye mchanga,kubeba dunia nk,sitoshindwa kukabiliana na hili pia.

2)pia ni uvumilivu na kucontrol hasira,naweza ishi maisha yoyote sehemu yoyote iwe msoto ama raha,kuchukulia poa mtu anapokuudhi.

3)nimepanua wigo wa marafiki na kwa mara ya kwanza kuwa na interaction na jinsia tofauti ilikua jeshini (nimesoma na girls tupu vidato vyote ) sikuwahi kuamini kama wakaka na wadada msio ndugu mnaweza kujichanganya pamoja bila lolote kutokea,kumbe inawezekana bana tena vizuri tuu[emoji3][emoji3]

Afu wadogo zangu wakinizingua tu ni wanachumpa(kichura),push ups kidogo naeenjoy[emoji3]

Bad thing ni kwamba nilipata kuwa na lugha mbaya aisee,yaani kutaja taja hivi viungo vya kike,kiume live ilikua kawaida sana,na sitosahau nilivokosea sms niliyokua namtumia Kuruta yenye maneno maneno, ikaenda kwa mshua yaani nomaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mshua alijibu nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom