Moment: Benki ya Finca ilivotunyoosha mimi na familia yetu kisawa sawa

Pole sana aiseee, nyakati mbaya Sana hiyo hasa kwa watoto.
 
Siku hizi bila saini ya mke hujakopa bado, yaani labda guarantor wako awe ajira/ofisi, otherwise mama ataitwa

Hivi kuna siri gani na mikopo ya benki hasa dhamana ikiwa inahusiana na ardhi,maaana wenginwanaochukua mikopo uishia kushindwa kulipa deni?

Inawezekana. Mtu na akili zake timamu siamini kama anaweza fanya huo ujinga.
Hapa unauita ujinga ila sponsor wako akikataa kukufanyia hvo utamuona bahili hajui kujali.
 
Chesea FINCA weyeee, Ile ni Kausha damu Pro max,
Nimekumbuka kitu, aaaah wee hatareee, lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Duuh noma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…