zunya
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 1,529
- 1,068
we unaona sawa sisi kukaa na vitoto vya buku mbili jero...??Ubaguzi usio na taji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
we unaona sawa sisi kukaa na vitoto vya buku mbili jero...??Ubaguzi usio na taji
Uzi wake ameandika kuwa tukio limitokea 2010 huo utaratibu ulishaanza labda angedema mwaka 2000,huko.nina uhakika na ninachokiongeaMsiwe wabishi, hayo mambo ya spouse concert, affidavit, yameanza miaka ya karibuni baada ya familia nyingi kupata matatizo na ikagundulika baba ndo chanzo.
Zamani hata kuuza ilikuwa ni foreclouser sio market value
ndio mbona mtaani mnaishi naowe unaona sawa sisi kukaa na vitoto vya buku mbili jero...??
Inawezekana unalolisema ni kweli lakini kwetu haikuwa hivo finca walipitisha somba sombaUzi wake ameandika kuwa tukio limitokea 2010 huo utaratibu ulishaanza labda angedema mwaka 2000,huko.nina uhakika na ninachokiongea
Afadhali.Siku hizi bila saini ya mke hujakopa bado, yaani labda guarantor wako awe ajira/ofisi, otherwise mama ataitwa aanguke saini ndio mzigo utoke.
Ni spouse consent sio concert,concert ni tamasha.any way 2010 spouse consent ilishaanzaMsiwe wabishi, hayo mambo ya spouse concert, affidavit, yameanza miaka ya karibuni baada ya familia nyingi kupata matatizo na ikagundulika baba ndo chanzo.
Zamani hata kuuza ilikuwa ni foreclouser sio market value
Wewe ni kama mimi. Huwa ikibaki hata 3m narudisha yote kutotaka keroBinafsi hakuna kitu naogopa kama mikopo
Miaka hiyo hiyo nilikuwa na bro wangu(sasa hivi marehemu). Alienda kukopa bila kumshirikisha mke wake, akapewa mkopo na baadae akashindwa kurejesha, walipokuja Bank mkewe akaweka pingamizi la kuuza nyumba.Ni spouse consent sio concert,concert ni tamasha.any way 2010 spouse consent ilishaanza
Ni michezo tu huwa wanacheza ma loan officer mkopaji anajifanya hajaoa anajaza affidavity,likibuma mke akiweka injuction nyumba haiuzwiMiaka hiyo hiyo nilikuwa na bro wangu(sasa hivi marehemu). Alienda kukopa bila kumshirikisha mke wake, akapewa mkopo na baadae akashindwa kurejesha, walipokuja Bank mkewe akaweka pingamizi la kuuza nyumba.
Na ndo wapo wengi wa hivyo mkuu, huku mtaani wanawake wanateseka sanaHilo zee ni ngese maana hata sifa ya mzee wa hovyo kaivuka unakopaje kingese ngese harafu unaweka rehani mali za familia.
Kuanza na kutiliwa mkazo ni tofauti. Ufuatiliaji wa Wabongo ulikuwa mdogo,walikuwa wanaburuzwa tu.Ni spouse consent sio concert,concert ni tamasha.any way 2010 spouse consent ilishaanza
kama jina la mke limewekwa la mchepuko mambo yanaendele shuari kabisa. Halafu siyo kila mtu anajua hilo, hasa katika hiyo miaka ya 2010Hakuna benki inatoa mkopo kwa mume bila mke kusaini,mama yako angeweka injuction kisingeuzwa kitu,elewa maana ya court injuction
Atakuwa ametunga story au kutojua sheriaHakuna benki inatoa mkopo kwa mume bila mke kusaini,mama yako angeweka injuction kisingeuzwa kitu,elewa maana ya court injuction
Mulemule 😄😄Kasikilize ngoma ya Dingi
Mandojo ft Domokaya
Layman wengi hawajui sheriaAtakuwa ametunga story au kutojua sheria
Mambo yataenda shwari ila ikibuma ndiio things fall apartkama jina la mke limewekwa la mchepuko mambo yanaendele shuari kabisa. Halafu siyo kila mtu anajua hilo, hasa katika hiyo miaka ya 2010