Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Nyani halioni kundule, wakati yeye alipogeuka kuwa chawa wa Magufuli anadhani tulikuwa tumelala?Huyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa
View attachment 3075559View attachment 3075560
Tena chawa mbaya sana. Huyu mzee hana haya.Nyani halioni kundule, wakati yeye alipogeuka kuwa chawa wa Magufuli anadhani tulikuwa tumelala?
Je maoni yake yana mashiko au?Tena chawa mbaya sana. Huyu mzee hana haya.
Anatafuta pumziko la mwisho, si unaona wakati wake umeshapitaa!!! Hana jipyaTena chawa mbaya sana. Huyu mzee hana haya.
Yana kila aina ya busara. Tatizo ni kuwa anasema kwa sababu wamemsahau. Unafiki mtupu.Je maoni yake yana mashiko au?
Alipewa cheo gani na Jiwe kwa Uchawa wake huo?Tena chawa mbaya sana. Huyu mzee hana haya.
Kwani chawa lazima apewe cheo? Musiba alipewa cheo gani?Alipewa cheo gani na Jiwe kwa Uchawa wake huo?
Yeye mwenyewe ni chawa wa enzi na enzi tangu wakati wa Mrema NCCR mageuzi na alitumika sana dhidi ya Mrema na baada ya Mrema kufifia amekuwa akitumika dhidi ya CHADEMA.Huyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa
View attachment 3075559View attachment 3075560
Anzia kwa SuphianUchawa unalipa sana, namie sahizi nataka niwe chawa wa mtu sasa sijui nani atakyenifaa😄
Hukijui cheo cha Musiba wakati wa Jiwe?Kwani chawa lazima apewe cheo? Musiba alipewa cheo gani?
Sasa ndiyo nani huyo!😄Anzia kwa Suphian
TribalistNyani halioni kundule, wakati yeye alipogeuka kuwa chawa wa Magufuli anadhani tulikuwa tumelala?
Kumbe jina lake lingine ni Momose?Huyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa
View attachment 3075559View attachment 3075560
Momose John CheyoKumbe jina lake lingine ni Momose?
........... Mwambie Mama watu hawataki chawa , sio unasononeka Tu , kwamba Baba au mama anatukanwaHuyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa
View attachment 3075559View attachment 3075560
Huyu alikuwa kungun kabsaaTena chawa mbaya sana. Huyu mzee hana haya.