Momose Cheyo auzungumzia “Uchawa” wa Tanzania

Momose Cheyo auzungumzia “Uchawa” wa Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Huyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa

Screenshot_2024-08-21-13-13-27-1.png
Screenshot_2024-08-21-13-13-32-1.png
 
Huyu hapa, Msome mwenyewe namna watu wanavyokwaa vyeo kwa sababu ya Uchawa

View attachment 3075559View attachment 3075560
Yeye mwenyewe ni chawa wa enzi na enzi tangu wakati wa Mrema NCCR mageuzi na alitumika sana dhidi ya Mrema na baada ya Mrema kufifia amekuwa akitumika dhidi ya CHADEMA.

Hata wakati alipopinduliwa uongozini UDP dola iliingilia kupitia. Msajili akarudishiwa uongozi hadi leo.

Aseme lingine lakini hilo la uchawa inabidi yeye. ndio aanze kuacha kama kweli ana.maanisha
 
Back
Top Bottom