Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Hehehehehe Dina wangeeeeee yule demu wa mwanza ulomuulizia kafia bagamoyo sijui ushapata info? Dina lile jukwaa si la ubuyu shauri yako
Sasa mbona hujaja kutia hata pole kwa wafiwa, tunataka tujue sio kunyamazaa pia taarifa ishasambazwa, ,,,ili maiti ipatikane haraka izikwee,ule sio ubuyu