USSR JF-Expert Member Joined Jul 15, 2015 Posts 10,904 Reaction score 26,184 Sep 22, 2021 #41 issenye said: Mwinyi alipojiuzulu hakuwa mwajiriwa serikalini? Lowasa alipojiuzulu hakuwa mwajiriwa serikalini? kahasheki alipojiuzulu hakuwa mwajiriwa serikalini? David mathayo alipojiuzulu hakuwa mwajiriwa serikalini? Hao ni wachache tu katika wengi Click to expand... Sasa nikujibu nini wewe ngumbalu nadhani umejijibu kwa post yako ,Soma upya ujiione ulivyo kilaza USSR
issenye said: Mwinyi alipojiuzulu hakuwa mwajiriwa serikalini? Lowasa alipojiuzulu hakuwa mwajiriwa serikalini? kahasheki alipojiuzulu hakuwa mwajiriwa serikalini? David mathayo alipojiuzulu hakuwa mwajiriwa serikalini? Hao ni wachache tu katika wengi Click to expand... Sasa nikujibu nini wewe ngumbalu nadhani umejijibu kwa post yako ,Soma upya ujiione ulivyo kilaza USSR
issenye JF-Expert Member Joined Feb 2, 2011 Posts 3,788 Reaction score 5,217 Sep 22, 2021 #42 USSR said: Sasa nikujibu nini wewe ngumbalu nadhani umejijibu kwa post yako ,Soma upya ujiione ulivyo kilaza USSR Click to expand... Ndio uone sasa serikali yako ilivyoharibu elimu ya tanzania
USSR said: Sasa nikujibu nini wewe ngumbalu nadhani umejijibu kwa post yako ,Soma upya ujiione ulivyo kilaza USSR Click to expand... Ndio uone sasa serikali yako ilivyoharibu elimu ya tanzania
Daudi Mchambuzi JF-Expert Member Joined Nov 25, 2010 Posts 62,197 Reaction score 128,160 Sep 23, 2021 #43 Ishort huyu msigwa ameonyesha ni jinsi gani alivyo mpuuzi aliyepitiliza.
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 88,759 Reaction score 123,368 Sep 23, 2021 #44 USSR said: Bora hata angekuwa Kama shangazi USSRView attachment 1948441View attachment 1948442View attachment 1948443 Click to expand... Eh anaka msambwanda Naona anauonesha Ova
USSR said: Bora hata angekuwa Kama shangazi USSRView attachment 1948441View attachment 1948442View attachment 1948443 Click to expand... Eh anaka msambwanda Naona anauonesha Ova
Hismastersvoice JF-Expert Member Joined Jan 26, 2013 Posts 21,741 Reaction score 26,735 Sep 23, 2021 #45 USSR said: Bora hata angekuwa Kama shangazi USSRView attachment 1948441View attachment 1948442View attachment 1948443 Click to expand... Picha ya juu ilipigwa akiwa Kigoma kwenye ziwa Tanganyika. Atakuwa ni mmanyema.
USSR said: Bora hata angekuwa Kama shangazi USSRView attachment 1948441View attachment 1948442View attachment 1948443 Click to expand... Picha ya juu ilipigwa akiwa Kigoma kwenye ziwa Tanganyika. Atakuwa ni mmanyema.
Mulama JF-Expert Member Joined Apr 16, 2011 Posts 3,036 Reaction score 1,808 Oct 2, 2023 #46 Pamoja na hayo lakini haya ni maandishi kutoka kwa zitto kabwe mwenyewe mama yusuf hana uwezo wa kuyaandika haya hata kidogo!
Pamoja na hayo lakini haya ni maandishi kutoka kwa zitto kabwe mwenyewe mama yusuf hana uwezo wa kuyaandika haya hata kidogo!