Tetesi: Mond atimka Madale,chanzo Hamisa

HUJANIELEWA!
wat if mimi ninayeandika hapa nikawa ni CHANZO CHA UHAKIKA niliyena ANONYMOUS ID!
ndo ilikuwa maana yangu!
 
HUJANIELEWA!
wat if mimi ninayeandika hapa nikawa ni CHANZO CHA UHAKIKA niliyena ANONYMOUS ID!
ndo ilikuwa maana yangu!
What if wewe sio chanzo cha Uhakika ? Manake dada yangu ktk comment yake umehukumu,mpaka uka declare anguko lake as if wewe ni mungu.Mimi nikuambie kitu mimi ktk familia yangu ni mtoto wa kiume wa pekee kati ya watoto wanne na habari za kimbeya nazijua sana na huwezi nidanganya na habari nyingi ninazopewa na dada zangu mara nyingi ukichunguza unaona upuuzi mtupu.
 
SAWA
 
ha ha ha mtu keshachanganyikiwa tayari, malipo ni hapa hapa duniani..Hakuna kitu kibaya kama mwanamke mwaminifu akikuacha kwa sababu tu ya uhuni wako.
Ana uaminifu gani?? nyie ndo mlikua mnakaa nae 24seven? jamani mbona mnamwonea D? watu wanabeba siri zao mmeshamsikia D akisema lolote kwa sbb alimuheshimu na labda hata hii ya ktk nje pia ilikua na sbb kwani kaanza nae leo?? mbona haku mcheat huko nyuma
 
Huu umbea umeupaka polish mpaka umekuwa kama plaint.
 
domo anabid atulie ...lakin ile nyimbo ya Kwangaru alivyokuwa anachezesha tukalio twake ..niliona domo ameanza kudata.
 
Nini maana ya madale hata sijakuelwa
 
Halafu unakuta mtu aliyeleta huu umbea ni mwanaume! Na kuna watu wanajidai hapa wanamjua sana Domo kumbe hawana lolote,wivu tu na kumtakia mabaya...Dai hanywi pombe na hatarajii kunywa..!!
 
Diamond mimi nilizungumza humu ndani,kitendo cha kuachana na Zari kitamgharimu sana,yule dada anajielewa na ndio maana walipokuwa naye alikuwa anakwenda vizuri sana,alimshep up vizuri na watu walimuheshimu tofauti na sasa...
 
Kumbe belaire ni juisi
Halafu unakuta mtu aliyeleta huu umbea ni mwanaume! Na kuna watu wanajidai hapa wanamjua sana Domo kumbe hawana lolote,wivu tu na kumtakia mabaya...Dai hanywi pombe na hatarajii kunywa..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…