Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Watu wengine hawana maamuziHapo sasa. Kama kagombana naye ni yeye mimi hayanihusu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wengine hawana maamuziHapo sasa. Kama kagombana naye ni yeye mimi hayanihusu.
NakujaNdo maana nimecheka. Njoo whatsapp halafu
[emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha
Ila wewe jamani, sawa tuu aki
Ni kutokujitambua tu.Watu wengine hawana maamuzi
Hivi kuna mtu kawalazimisha kuyaleta jukwaan?Sasa yakibuma ndo tunayoyaona humuu..
Wanazungukana huko weeeee mwisho yanakuja jukwaani!!
Jamani hatuyatakii pambaneni huko huko mlikoanzia!! Kuna watoto wetu humu, wazazi wetu pia!! Heshima muhimu
Kaka angu lazima niende kwa Mwakasege nikapige maombi sio wewe ninayekujuaNahis ameshantengeneza sjielew kabisaaa yaan fanyen Maombi sio bure
Pouwa cute...za jana?Habari ya wewe mama?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] NimechekaHahaha
Unakuwa na umri mdogo sura ya mamangu .... Akuuuu wacha nicheke
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Namba mbili mchumba angu Don namba tatu kaka angu Mshana namba nne rafiki angu U... simtaji huyu anajijua.
Wala sio kukosa kazi my dear, mie nawaona washamba wa maisha tuu!!!kutokuwa busy nayo inachangia kumkuta mtu ananunua ugomvi. Hivi mtu unawezaje kukosa cha kufanya hadi ununue ugomvi. Let us remain GT mwaya best yangu.
Hope you are doing well. Nimekumis mnooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kweli la blockNa mwisho wa siku lazima yabume tu.
Mimi binafsi mtu akinifata kuniambia habari za Member mwingine wa humu ninampa Block la mwendokasi maana sitaki umbea apambane na mabifu yake hukohuko.
Mbona mi sipo busy na siwezi nunua ugomvi hata wa nani. Shoga angu Phenomenal woman anakasirikaga akianza kugombana na mtu halafu mi namtetea huyo mtu maana naona kabisa yeye ndo mkorofi sasa namteteajekutokuwa busy nayo inachangia kumkuta mtu ananunua ugomvi. Hivi mtu unawezaje kukosa cha kufanya hadi ununue ugomvi. Let us remain GT mwaya best yangu.
Hope you are doing well. Nimekumis mnooo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Woyoooo
Cheka mwaya sura isije ikapata makunyanzi buree [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kweli la block