Monday Morning Special!!

Monday Morning Special!!

Mie ukinitukana au kunifanyia chochote humu kiukweli nafurahi tu...ujue kuna vitu vya kuumiza kichwa au kunishtua kuhitaji attention yangu ila sio hizi vumbi ndogo ndogo. Iko hivyo hata kwenye uhalisia, kikubwa ntakachofanya ni kunyamaza na kuendelea na mambo yangu.
Kweli aiseee. Sana sana likinigusa na nakuthamini ntakufuata pembeni nikwambie. Ila zaid ya hapo nakudharau kama takataka gani sijui.
 
Members wanapokuwa ki umri na JF Nayo inakuwa pia look yourself Ten years from now, Ukija kusoma ulichoandika.
Wengi hatutapenda maandishi yetu humu baada ya hiyo miaka kumi
 
muendelezo wa janaaaaa
Kutokea wapi? Mwenza wakiendeleza kwenye uzi wangu watakua wajinga na ntahakikisha wanakula ban. Sitaki kuchafuliwa uzi wangu kabisa
 
Nakuja tulale apo..alafu nije kukutangaza na hcho kibammia chako[emoji23] [emoji23]
Ukimtangaza bwana etu utakosa adabu mwenza. Mbona mi nilivyojua kalala na nanihii humu sikumtangaza nlimchamba tu whatsapp. Tusimchambe bwana etu mwaya maana mwishoni tutaanza kuchambana wenyewe
 
Ukimtangaza bwana etu utakosa adabu mwenza. Mbona mi nilivyojua kalala na nanihii humu sikumtangaza nlimchamba tu whatsapp. Tusimchambe bwana etu mwaya maana mwishoni tutaanza kuchambana wenyewe
[emoji23] [emoji23] [emoji23] tutaleta uzi wa kuchambana kama ule wa jana na picha zake ntasambaza[emoji3] [emoji3]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] mapemaaa niko apa kupata yanayojiri blue monday

jana si uligoma kuniita maana na ww unahusika[emoji3] [emoji3] (natania)
Muache mchumba angu na yeye kachoka
 
Wengi wasiojielewa ni wadada bifu nyingi ni kugombania wanaume tena anonymous utadhan mitaan wameisha.
Na hata kama unafahamu mama angu hata usipotia neno kuna waja watakuhusisha uje tu uandike wakushambulie. Nazidi kujifunza uelewa wa watu humu. Yani niliyokua nayawaza kuhusu watu wa humu kabla sijajoin ni tofauti kabisa. Nilijua wote watu wazima. Kikubwa ni ukiona watu wanagombana usitake side. Waache tu watiane aibu wenyewe. Jitahidi kuwanyamazisha basi.
 
wanawake wanafiki sana. ndo maana hatuendelei.namshukuru mungu sinaga time ya kumfuatilia mtu yeyote humu.ila shangaa kuna mtu halali anawaza tu jinsi ya kugombana na wewe. namshukuru mungu nilimuachia wenyewe bna hata sijui walimfanya nini maana niliambiwa nitulie na wenye nchi yao
 
Watu wanatafuta sana kujulikana/kuwa maarufu mitandaoni ndo maana wanaweka mambo yao ili waongelewe.

Mtu unayejiheshim na kujua thamani yako huwezi kuweka mambo yako hadharani hasa ukizingatia huwezi kufuta.

Tuwe na kiasi...
 
Nilivyojiunga JF nilijua ni sehemu nitasoma niburudike na nijifunze. Sikua najua hata members huwa wanaonana nje ya hapa. Kumbe watu huwa wanaonana huko nje halafu yakiwabumia wanarudi kutuelezea humu.

Inatosha kuwa mtu mzima kujua kipi niweke wazi kwenye mtandao kipi nisikiweke wazi. Kwa mimi naona ni jambo baya kuweka ugomvi wa matusi na mahusiano kwenye mtandao ambao hujui nani utakutana nae kesho.

Ukiwa kwenye ugomvi unaoweza kuuepuka uepuke. Heri nusu shari kuliko shari kamili. Hutaonekana mnyonge kwa kumdharau mtu anaekukosea. Hata huyo mtu akiandika mara mbili tatu akiona humjibu ataacha tu.

Umetengeneza marafiki kaa nao kwa amani. Kupishana ni jambo la kawaida kwa binadamu. Usitake kupishana kwako kidogo na mtu kuwe ndo bifu ulibebe mgongoni.

Tuifanye JF kuwa sehemu salama. Tukumbuke kuna maisha baada ya mitandao. Maisha hayaishii leo hapa JF. Kuna kazi kuna watoto kuna ndugu. Usijiangalie wewe unaendika ujinga humu. Angalia na wengine walio nyuma yako.

Hakuna mtu aliepewa medal kwa kupenda kutukanana mtandaoni sana sana watu wanakudharau.

Nashangaa JF niliyoingia kwa mapenzi yangu watu wanachaguliana wa kuongea nae wa kucheka nae. Guys huku uliingia mwenyewe. Usifanye jambo kumfurahisha mtu ulomkuta humu ambae hakuchangii hata bundle. Mtu anakwambia kamtukane mzigua na wewe kwa kuwa akili yako haijui kuchanganua mambo unakuja unanitukana kweli.

Huku ni home of GT embu tuishi basi kama GT.

Nimesema haya baada ya kuona watu wanajisahau sana na hii mitandao hasa humu.
Umeongea jambo la muhimu sana.
Wenye kuelewa wataelewa [emoji144]
 
Back
Top Bottom