[emoji23][emoji23] unakuwaga na akili sanaWord. Maisha kujiachia bana. Sio unafiki mtu anachochea ugomvi akiona heee yanakaribia kumrudia ndo anakurupuka Kuita mods futeni wakati huo alikua anainjoi mwanzo mwishoView attachment 782401
Hiki ni kweli kabisa. Halafu hii tabia ya kushadadia ugomvi wa watu wanaozungumza huko PM si nzuri kwa afya ya akili.Hao wanaochochea trust me wanakuaga hata hawaelewi kinachoendelea. Wabaya ni wale wanaojua kinachoendelea halafu wanatumia wengine waendeleze ugomvi.
Mtaani kuna wanaume wamejaa kama mchanga. Kujichagulia tu leo nimkubalie nani. Na hakuna ugomvi unaharibu image kama ugomvi wa mapenziWengi wasiojielewa ni wadada bifu nyingi ni kugombania wanaume tena anonymous utadhan mitaan wameisha.
Ila utume na picha yake.Nakuja tulale apo..alafu nije kukutangaza na hcho kibammia chako[emoji23] [emoji23]
nwanaume mwenyewe anaegombaniwa wala hajulikani ahaaa jf kuna vituko sanaMtaani kuna wanaume wamejaa kama mchanga. Kujichagulia tu leo nimkubalie nani. Na hakuna ugomvi unaharibu image kama ugomvi wa mapenzi
Wewe niliambiwa mimi unanifuatilia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Natania mwaya. Achana nao. Sema mi nachukia mtu mnafki aisee. Kuwa na tabia zote ila sio unafki. Tusameheane tulipokwazana tuendelee kuenjoy humu.wanawake wanafiki sana. ndo maana hatuendelei.namshukuru mungu sinaga time ya kumfuatilia mtu yeyote humu.ila shangaa kuna mtu halali anawaza tu jinsi ya kugombana na wewe. namshukuru mungu nilimuachia wenyewe bna hata sijui walimfanya nini maana niliambiwa nitulie na wenye nchi yao
sasa jeIla utume na picha yake.
Wewe toto mumbeyaaaaaaaa sinawahi onamuendelezo wa janaaaaa
Asante kwa kuongezea hili. Ila ni vizuri uongelewe kwa mazuri sio kwa mabaya.Watu wanatafuta sana kujulikana/kuwa maarufu mitandaoni ndo maana wanaweka mambo yao ili waongelewe.
Mtu unayejiheshim na kujua thamani yako huwezi kuweka mambo yako hadharani hasa ukizingatia huwezi kufuta.
Tuwe na kiasi...
ahaaaa mimi niko loyal sana halafu sio rahisi nigombane na mtu . pia huku jf bna ni sehemu minor sana kwangu nothing serias humuWewe niliambiwa mimi unanifuatilia [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Natania mwaya. Achana nao. Sema mi nachukia mtu mnafki aisee. Kuwa na tabia zote ila sio unafki. Tusameheane tulipokwazana tuendelee kuenjoy humu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] komaaa..unawajua wambeyaaa wwWewe toto mumbeyaaaaaaaa sinawahi ona