Monday Morning Special!!

nilishasamehe ila mimi muhuni ukinikosea lazima nilipize sema siku hizi nimekua sana .unajua nini nilifungua id ya kiume jf nikajifanya natafuta mchumba weee nina picha za kutosha ***** nawacheki tu .ole wao mtu aingie kwenye tisini
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hii kali
 
Tatizo la humu ndani ni UNAFIKi tuu hakuna linginee!! Sio kwa wanaume wala wanawake wote ni WANAFIKI!!!

Kama unajua Sakayo kakukosea kwa nini usiniambie mimi kama msamaha nikuombe?! Tabia ya kuanzia sijui ni mavikundi yamnunie Sakayo sababu kakusosea ni unaaa!

Sisi ni watu wazima, mambo za kitoto tuache haya yatabaki kuwa maisha tuu!!
 
hivii kumbe uku kuna mavikundiii?? duuh nko nyuma san
 
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Mwenye masikio na akapate kusikia
 
Vikundi kamwe?? Watu wanayaweza humu jamani. Ni kukosa kazi au ulimbukeni wa mitandao? Kwahiyo niambiwe mkasirikie Sakayo halafu nakukasirikia bila sababu? Akili au matope hayo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. JF kuna watu wana akili za kina mama Juma wa Tandale wale wa kukusuta na baikoko
 
Shikamoo Dada angu
 
Mimi kama shunie nimekuelewa mnooo asante sana kwa kutukumbusha ubarikiwe mnooo ndugu yangu nakupenda
 
Hivi unaanzaje kugombana na kununiana na mtu ambaye umekutana nae mtandaoni.

Kwanza hujui kama ni mtu kweli au ni robot au zombie. Jinsia humjui maana ID fake nyingi avatar ndio usiseme.

Sometimes tunachukulia maisha ya mtandaoni serious sana kuliko inavyotakiwa. Huku tumekuja kujifunza na kupoteza mawazo tu. Ukiona kizombie au mazombie yanakuchokonoa yaache yatatulia yenyewe.
 
Hahaha
Nafikiri halijakukuta wewe!! Mtu anakununia with no reason sababu tuu fulani hakupendi!!

Huwa nawadharau tuu napita ka meona kivuli!!
 
Mwenyewe nilikuwa sijui, ila siku nilokuja kujua nilishangaa!! Unaambiwa usimseme vibaya fulani ana watu wake.

Lakini hata kwa macho za kawaida tuu unaweza kuona!! Mie nimezoea kukenua na kila mtu wa kununa anune tuu!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka sana
 
Ewaaaaa
Hapo ndo umeongea ndugu!! Kila mtu angekuwa na akili ka zako tungekuwa mbali sana!!!

Yaani mtu anakuchukia mpaka akiona avatar yako anauguaa!! Kwenye wengi mikwaruzano haikosekani sie binadamu, ukiona mekosa niulize tuu kwa nini hivi lakini?! Kwani shida inakuwa wapi hapo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…