Monday Morning Special!!

Mwenyewe nilikuwa sijui, ila siku nilokuja kujua nilishangaa!! Unaambiwa usimseme vibaya fulani ana watu wake.

Lakini hata kwa macho za kawaida tuu unaweza kuona!! Mie nimezoea kukenua na kila mtu wa kununa anune tuu!!
Nilikuwa nawaonaga wanawake wote humu mashosti zangu weee nilikoma ila nilichokifanya mungu anisamehe Ila Nina roho nzuri balaa siwezi mfanyia mtu ubaya maisha
 
Nakazia chalii
 
Akiona avatar yako anaugua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu ujue bado kwetu umeme hamna toka jana nimekuja kucharge simu huku
 
Nilikuwa nawaonaga wanawake wote humu mashosti zangu weee nilikoma ila nilichokifanya mungu anisamehe Ila Nina roho nzuri balaa siwezi mfanyia mtu ubaya maisha
Mie bado ni shost ako penda usipendee!!
Wewe sijui uliwakosea nini aki,ulikuwa mtu wa mwisho kuamini eti watu wanakuchukia mpaka siku naona sura yako inabembea huku!!

Nilijifunza saaana, nkasema kama miss kafanyiwa hivi vipi mie!! Huwezi amini niliumia mnooo!!!
 
Huwezi amini mungu shahidi sijawai kumkosea chochote. Hata ukimuuliza.
 
Halafu wakatafuta picha mbaya ahahaa wangeniambia tu niwape picha kamili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…