Monday Morning Special!!

Monday Morning Special!!

Mwenyewe nilikuwa sijui, ila siku nilokuja kujua nilishangaa!! Unaambiwa usimseme vibaya fulani ana watu wake.

Lakini hata kwa macho za kawaida tuu unaweza kuona!! Mie nimezoea kukenua na kila mtu wa kununa anune tuu!!
Nilikuwa nawaonaga wanawake wote humu mashosti zangu weee nilikoma ila nilichokifanya mungu anisamehe Ila Nina roho nzuri balaa siwezi mfanyia mtu ubaya maisha
 
Hivi unaanzaje kugombana na kununiana na mtu ambaye umekutana nae mtandaoni.

Kwanza hujui kama ni mtu kweli au ni robot au zombie. Jinsia humjui maana ID fake nyingi avatar ndio usiseme.

Sometimes tunachukulia maisha ya mtandaoni serious sana kuliko inavyotakiwa. Huku tumekuja kujifunza na kupoteza mawazo tu. Ukiona kizombie au mazombie yanakuchokonoa yaache yatatulia yenyewe.
Nakazia chalii
 
Ewaaaaa
Hapo ndo umeongea ndugu!! Kila mtu angekuwa na akili ka zako tungekuwa mbali sana!!!

Yaani mtu anakuchukia mpaka akiona avatar yako anauguaa!! Kwenye wengi mikwaruzano haikosekani sie binadamu, ukiona mekosa niulize tuu kwa nini hivi lakini?! Kwani shida inakuwa wapi hapo!
Akiona avatar yako anaugua [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu ujue bado kwetu umeme hamna toka jana nimekuja kucharge simu huku
 
Nilikuwa nawaonaga wanawake wote humu mashosti zangu weee nilikoma ila nilichokifanya mungu anisamehe Ila Nina roho nzuri balaa siwezi mfanyia mtu ubaya maisha
Mie bado ni shost ako penda usipendee!!
Wewe sijui uliwakosea nini aki,ulikuwa mtu wa mwisho kuamini eti watu wanakuchukia mpaka siku naona sura yako inabembea huku!!

Nilijifunza saaana, nkasema kama miss kafanyiwa hivi vipi mie!! Huwezi amini niliumia mnooo!!!
 
Mie bado ni shost ako penda usipendee!!
Wewe sijui uliwakosea nini aki,ulikuwa mtu wa mwisho kuamini eti watu wanakuchukia mpaka siku naona sura yako inabembea huku!!

Nilijifunza saaana, nkasema kama miss kafanyiwa hivi vipi mie!! Huwezi amini niliumia mnooo!!!
Huwezi amini mungu shahidi sijawai kumkosea chochote. Hata ukimuuliza.
 
Mie bado ni shost ako penda usipendee!!
Wewe sijui uliwakosea nini aki,ulikuwa mtu wa mwisho kuamini eti watu wanakuchukia mpaka siku naona sura yako inabembea huku!!

Nilijifunza saaana, nkasema kama miss kafanyiwa hivi vipi mie!! Huwezi amini niliumia mnooo!!!
Halafu wakatafuta picha mbaya ahahaa wangeniambia tu niwape picha kamili
 
Back
Top Bottom