Monday Morning Special!!

Monday Morning Special!!

Yani umeongea fact wifii kuna watu mkigombana nje ya if analeta kisasi hukuu sijui anazan anapata faida gani?

Mm huwa nasema kamwee sitarudi nyumaaa DEMISS mbele kwa mbele kama Ccm najua lazima utakuja hapa kuqoute na kunitukana utateseka sana.
 
[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Mwanaume gani huyo???? Huyu huyu ndugu yetu anaewagonganisha sana au yupi?
simjui hata yaani huwa nacheka tu
 
Haki nitawafuta hapa JF. Yani mutaniacha kama mlibyonikuta..
nawatania bwana. Nitafurahi mtakuwa mmeniongezea watoto wenye haja na mkuyenge.


Ila mimi ukiona nimempa mdada namba yangu ujue anajitambua.
Tukituma na picha yako ya mandingo pm itafurikaa. Maana si unajua tunavyopendaga watu wenye miguu mitatu eeh [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani umeongea fact wifii kuna watu mkigombana nje ya if analeta kisasi hukuu sijui anazan anapata faida gani?

Mm huwa nasema kamwee sitarudi nyumaaa DEMISS mbele kwa mbele kama Ccm najua lazima utakuja hapa kuqoute na kunitukana utateseka sana.
Mrs jr uyoo
 
Kumbe ndio zao [emoji23][emoji23][emoji23] wajinga waliopitiliza hao
Ndo nimejua jana lakini. Mi nashangaa hata sipewagi hizo nafasi za kujazwa ujinga. Maana nilivyo mdadisi ntakuuliza maswali hadi utaghairi kunishirikisha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom