Monday Morning Special!!

Monday Morning Special!!

Yani Ngabu kama Yuda Eskariot [emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Yani ni heri utukane kuliko uonekane uko sawa na Ngabu.
Ahahaa ameenda wapi?
Kitu kimoja watu wajue.ugomvi wa nifah na ngabu Mimi siujui.nifah was my friend kama nilivosema mwanzoni kila mwanamke wa jf nilimchukulia kama shosti wangu.nilikuwa namuheshimu sana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Tumshkuru sana mbebez wangu bila yeye mpaka leo ungekuwepo huko kwenye group na picha zingekuwa zinazidi kupostiwa nakujua ww
Lol. Wangezipost kutokea wapi? Status au wapi? Maana nlikua sijasave namba ya hata mmoja hata status wasingeziona [emoji23][emoji23].
 
Lol. Wangezipost kutokea wapi? Status au wapi? Maana nlikua sijasave namba ya hata mmoja hata status wasingeziona [emoji23][emoji23].
Siku umepiga mambo yako unajipostia tu picha uko kwa group
 
Picha langu kuwekwa humu [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ile siku najiuliza picha imefikaje halafu mwenyewe unajifanya haujali kumbe una yako uko umeingizwa kwa group haujataka ushauri
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ile siku najiuliza picha imefikaje halafu mwenyewe unajifanya haujali kumbe una yako uko umeingizwa kwa group haujataka ushauri
Sikujali sana sababu niliituma na aliweka humu aliweka tu bila kujua na yeye anaweka picha ya nani.
 
Shule mama shule. Nawaambiaga marafiki zangu wa mjini tofauti yangu na yao ni kwamba mi sikwenda shule kukua ila kuelimika. Ndo maana vitu vingi wanavyofanya niko tofauti nao.

Mara ya kwanza kukutana na wewe nilikwambia kama unakumbuka, you stole my time, I had planned to stay for like 20 to 30 minutes.

I ended up staying 3 hours if not 4. Since then, I don't get enough time with you, give me a day, I will ask for a week, a month, a year! Who knows, an eternal will most probably serve the purpose.

You are so brainy mam.

All love.
 
Mara ya kwanza kukutana na wewe nilikwambia kama unakumbuka, you stole my time, I had planned to stay for like 20 to 30 minutes.

I ended up staying 3 hours if not 4. Since then, I don't get enough time with you, give me a day, I will ask for a week, a month, a year! Who knows, an eternal will most probably serve the purpose.

You are so brainy mam.

All love.
Mbichwa unapasuka hapa mchumba.
 
Back
Top Bottom