Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
[emoji41][emoji41][emoji41]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji41][emoji41][emoji41] View attachment 1373821
Hapo kwani Kuna Kiki gani?Ndio maana amefubaa hana mpya siku hizi. Nilikua shabiki mkubwa wa mondi siku hizi simkubali hata kidogo. Kuanzia nyimbo zake za kijinga mpaka na kiki zake za kipuuzi
Haya banaMsimlaumu daimond walaumuni na hao wanawake wanaojibebesha mimba within a week tayari mimbaa!waambienk waachd tamaa wanaona sifa kuzaa na staa!!MTU km Zari aliacha kukomaa na Ivan kisa kumzalia diamond, Hamisa nae kafichwa kajibebesha mimba huyu Tanasha nae siku 2 mimba!majinga kabisaa haya madada hayajitambui yotee!yapo kimaslahi tu!
Kaka wa watu wala hafaidi ujana wake mwee!!!
Kila demu analenga mimba!mimi ni mwanamke lakini nasema acha waachwe hawajielewi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo kwani Kuna Kiki gani?
Tatizo sio diamond, tatizo ni wanawake wenyewe. Uzuri wa diamond huwa hajui ku pretend yani tabia zake ziko wazi kabisaa yani ukiwa nae akishakuchoka cha moto utakiona private na public, na ukishaachwa pia bado utaendelea kusomeshwa namba kwenye public, sasa ambacho huwa nashangaa unakuta mwanamke anayaona yote hayo lakini nayeye anajiweka hapo na mimba juu tena within a week khaaaaa
Nitajie hizo Kiki za kipuuzi tatizo nyinyi mashabiki ndio mnawatengenezea wasanii Kiki alafu mnasema wasanii ndio wanatafuta Kiki wiki iliyopita mlisema diamond karudiana na hamisa wakati diamond mwenyewe ajaongea chochote na Wala hakuna ushahidi wowote ila mmbeya mmoja kachukua simu yake akaandika huo uongo nyinyi mkaanza kuujadili sasa hapo msanii ametafutaje kiki?Kwan mondi hajulikan kua ndio bingwa wa kiki za kipuuzi puuzi
One thing am sure, sizani kama anawambiaga wazae.Kuna watu wana vipaji vya ulaghai. Huwez jua mneno anayokua anawaambia na pengine kujifanya amebadilika tabia na kukupa ahadi hewa nyingi