Mondi kusamehewa iwapo atamuacha Tanasha? Sidhani

Mondi kusamehewa iwapo atamuacha Tanasha? Sidhani

Wee nitue mbona unatumia 'mlisema'. Mimi na nani na tulisema wapi.
Mbona diamond mwenyewe alishawah kusema kua yeye ni bingwa wa kiki. Au hilo hulijui. Bila vimambo mambo vyake kuviexpose na kufanya watu waone unafikiri ataongelewa nini. Hizo kiki ndio zinazomfanya awepo midomoni. Lasivyo angeshasahaulika midomoni mwa watu.
Nitajie hizo Kiki za kipuuzi tatizo nyinyi mashabiki ndio mnawatengenezea wasanii Kiki alafu mnasema wasanii ndio wanatafuta Kiki wiki iliyopita mlisema diamond karudiana na hamisa wakati diamond mwenyewe ajaongea chochote na Wala hakuna ushahidi wowote ila mmbeya mmoja kachukua simu yake akaandika huo uongo nyinyi mkaanza kuujadili sasa hapo msanii ametafutaje kiki?

Belle 9 alimpost mwanamke yupo pekee akimtakia happy birthday mashabiki wakaanza kusema ni mchumba wakati msanii mwenyewe hajasema chochote unaweza kukuta ni ndugu yake au rafiki yake unajiuliza sasa hapo ametafutaje kiki au nyinyi mashabiki ndo mmetengeneza Kiki msanii.
 
Wee nitue mbona unatumia 'mlisema'. Mimi na nani na tulisema wapi.
Mbona diamond mwenyewe alishawah kusema kua yeye ni bingwa wa kiki. Au hilo hulijui. Bila vimambo mambo vyake kuviexpose na kufanya watu waone unafikiri ataongelewa nini. Hizo kiki ndio zinazomfanya awepo midomoni. Lasivyo angeshasahaulika midomoni mwa watu.
sasa kumbe unajua kanuni ya mchezo kwanini ulalamike sasa lama Dimond anapenda kiki?

Muziki unaouza zaidi Duniani ni wa U.S.A na huko ndio waanzilishi wa kiki, Jay Z na ukubwa wote anafanya kiko sembuse Nasibu Abduli wetu Tz..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio Diamond, tatizo ni wanawake wenyewe. Uzuri wa diamond huwa hajui ku pretend yani tabia zake ziko wazi kabisaa yani ukiwa nae akishakuchoka cha moto utakiona private na public, na ukishaachwa pia bado utaendelea kusomeshwa namba kwenye public, sasa ambacho huwa nashangaa unakuta mwanamke anayaona yote hayo lakini nayeye anajiweka hapo na mimba juu tena within a week khaaaaa
Uko sahihi!!!dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I'm not daimond's fan lakini kwa hili nawakatalia wadada waache kujilengesha shenzi zaooo
Nitajie hizo Kiki za kipuuzi tatizo nyinyi mashabiki ndio mnawatengenezea wasanii Kiki alafu mnasema wasanii ndio wanatafuta Kiki wiki iliyopita mlisema diamond karudiana na hamisa wakati diamond mwenyewe ajaongea chochote na Wala hakuna ushahidi wowote ila mmbeya mmoja kachukua simu yake akaandika huo uongo nyinyi mkaanza kuujadili sasa hapo msanii ametafutaje kiki?

Belle 9 alimpost mwanamke yupo pekee akimtakia happy birthday mashabiki wakaanza kusema ni mchumba wakati msanii mwenyewe hajasema chochote unaweza kukuta ni ndugu yake au rafiki yake unajiuliza sasa hapo ametafutaje kiki au nyinyi mashabiki ndo mmetengeneza Kiki msanii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Msimlaumu daimond walaumuni na hao wanawake wanaojibebesha mimba within a week tayari mimbaa!waambienk waachd tamaa wanaona sifa kuzaa na staa!!MTU km Zari aliacha kukomaa na Ivan kisa kumzalia diamond, Hamisa nae kafichwa kajibebesha mimba huyu Tanasha nae siku 2 mimba!majinga kabisaa haya madada hayajitambui yotee!yapo kimaslahi tu!
Kaka wa watu wala hafaidi ujana wake mwee!!!

Kila demu analenga mimba!mimi ni mwanamke lakini nasema acha waachwe hawajielewi!

Sent using Jamii Forums mobile app

Mondi ndio ajifunze!! kuwa kuna wadada wanataka kuzaa tu nae kwa kuwa ni star..hivyo afunge zipu!!!..mie I believe in Karma,ngoja aone dada yake/zake wakifanyiwa anayowafanyia wenzie labda ndio atajifunza
 
mie I believe in Karma,ngoja aone dada yake/zake wakifanyiwa anayowafanyia wenzie labda ndio atajifunza

Basi tusubiri !!!🙇🏿‍♂️🙇🏿‍♂️🙇🏿‍♂️


VideoCapture_20200228-160621.jpg
 
Back
Top Bottom