Poker
JF-Expert Member
- Oct 7, 2016
- 5,445
- 14,828
King Kiba atazidi kuwa juu na kuendelea kutawala muziki wa afrika kama the late franco makiadi! Sio yule mnyonyaji wa usafini ambaye kutwa kucha wasanii wanamkimbia kwa unyonyaji uliopitiliza. Aache mara moja dhulma sio nzuri, kwanini asijifunze kupitia kwa mfalme kiba?
Wasanii wengi wa kings wanafurahia maisha na kulipwa ujira mzuri bila unyonyaji. Congrats mfalme kiba!
Wasanii wengi wa kings wanafurahia maisha na kulipwa ujira mzuri bila unyonyaji. Congrats mfalme kiba!