Mondi ni mnyonyaji sana ila mfalme Kiba ni muungwana!

Mondi ni mnyonyaji sana ila mfalme Kiba ni muungwana!

Wakati mondi anaanzisha WCB Hamkuwepo
Wakati anawasaini Hawa harmo,rayvany etc kutoka zero Hamkuwepo
Wakati wanasaini na mkataba ulivyokubalika Hamkuwepo
Mliwaona tu wangekuwa maarufu na mnaanza kuropoka ooh WCB wanyonyaji .
Tukisema nyinyi ni malaya na mna nyege tutakuwa tumekosea?
Kama mkataba wa baba yako na mama yako haujaukosea kwa kusema babako au mamako Nani ananyonywa
 
Wakati mondi anaanzisha WCB Hamkuwepo
Wakati anawasaini Hawa harmo,rayvany etc kutoka zero Hamkuwepo
Wakati wanasaini na mkataba ulivyokubalika Hamkuwepo
Mliwaona tu wangekuwa maarufu na mnaanza kuropoka ooh WCB wanyonyaji .
Tukisema nyinyi ni malaya na mna nyege tutakuwa tumekosea?
Kama mkataba wa baba yako na mama yako haujaukosea kwa kusema babako au mamako Nani ananyonywa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
King Kiba atazidi kuwa juu na kuendelea kutawala muziki wa afrika kama the late franco makiadi! Sio yule mnyonyaji wa usafini ambaye kutwa kucha wasanii wanamkimbia kwa unyonyaji uliopitiliza. Aache mara moja dhulma sio nzuri, kwanini asijifunze kupitia kwa mfalme kiba?

Wasanii wengi wa kings wanafurahia maisha na kulipwa ujira mzuri bila unyonyaji. Congrats mfalme kiba!

Labda utufafanulie alikunyonya sehemu gani ya mwiili
 
Kufuatia kuondoka kwa Rayvanny ambaye alilazimika kulipa TZS Bilioni 1 ili kununua sehemu iliyobaki ya mkataba wake wa miaka 10, kumekuwa na mjadala mkubwa kuhusu lebo ya WCB inavyowachukulia wasanii wake.

Kwa mujibu wa gazeti la The Citizen, mmiliki wa lebo hiyo, Diamond Platnumz amesema haoni tatizo kuhusu mkataba huo ambao wengi wanadai kuwa ni mkataba wa ‘kinyonyaji’ ambao unaifanya WCB kuchukua asilimia 60 ya mapato yote yanayotokana na kila msanii aliyesajiliwa chini ya lebo hiyo.

“Tuweke kitu kimoja sawa, muziki ni biashara. Wanaolalamika tunawanyonya wasanii wanaonekana kusahau wasanii hawa walikuwa kwenye lebo nyingine tofauti lakini hawakuwa maarufu. Tuliwachukua, na tukawatengeneza hadi wakafikia hatua ya kuuzika na kuzalisha pesa nzuri tofauti na ilivyokuwa hapo awali. WCB tuliwafanya kuwa matajiri na maarufu na unawasikia wanathibitisha"

“Hakuna wasanii matajiri Tanzania baada yangu, zaidi ya wale wa WCB. Nilifanya haya kwa kuwekeza mamilioni ya pesa zangu kwao, lakini sasa msanii anapoanzishwa, anataka kukimbia na biashara nzima. Siwezi kuruhusu hilo, ilibidi nirudishiwe pesa zangu na faida pia" — Diamond Planumz
Screenshot_20220801-051110.jpg
 
Back
Top Bottom