Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Sikuzingatia hilo bali kile nilichoona kinafaa kuandikwa namimiMzee kwa akili yako unamuona mtoa mada yupo serious?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuzingatia hilo bali kile nilichoona kinafaa kuandikwa namimiMzee kwa akili yako unamuona mtoa mada yupo serious?
Mtoa mada alipiga Cha Arusha kabla ya kuandika uzi😂😂😂😂mkuu we huoni hapo
🤣🤣🤣🤣🤣Huyo mnyojaji mbona wasanii wale wako vereeeee sana kuliko huyu mwingine
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wakati mondi anaanzisha WCB Hamkuwepo
Wakati anawasaini Hawa harmo,rayvany etc kutoka zero Hamkuwepo
Wakati wanasaini na mkataba ulivyokubalika Hamkuwepo
Mliwaona tu wangekuwa maarufu na mnaanza kuropoka ooh WCB wanyonyaji .
Tukisema nyinyi ni malaya na mna nyege tutakuwa tumekosea?
Kama mkataba wa baba yako na mama yako haujaukosea kwa kusema babako au mamako Nani ananyonywa
Labda utufafanulie alikunyonya sehemu gani ya mwiiliKing Kiba atazidi kuwa juu na kuendelea kutawala muziki wa afrika kama the late franco makiadi! Sio yule mnyonyaji wa usafini ambaye kutwa kucha wasanii wanamkimbia kwa unyonyaji uliopitiliza. Aache mara moja dhulma sio nzuri, kwanini asijifunze kupitia kwa mfalme kiba?
Wasanii wengi wa kings wanafurahia maisha na kulipwa ujira mzuri bila unyonyaji. Congrats mfalme kiba!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Labda utufafanulie alikunyonya sehemu gani ya mwiili
Walikua wanalala getini kma walinzi kwakeWale wawili waliokimbia kwa kiba ilikuaje? Killy na mwenzie
Pi po love free lunchHakuna cha unyonyaji hapo
Ova
Wapo wapo tu Kama wafanyakazi was ndaniWale wawili waliokimbia kwa kiba ilikuaje? Killy na mwenzie
Washakuwa hawa hitaji promo-Harmonize.Wapo wapo tu Kama wafanyakazi was ndani