Mondi platinumuz anaelekea kuwa level ya Michael Jackson

Mondi platinumuz anaelekea kuwa level ya Michael Jackson

Jamaa no mbunifu sana. Wimbo japo kuna watu wanajaribu kuudis but tayari ni gumzo kila kona ya hii nchi. Vibanda vyote vinavyoingiza nyimbo kwenye simu, memori card, na hata flash siku mbili hizi wamepiga pesa sana. Unaambiwa kuna foleni KUBWA kila mtu anataka kuupata huu wimbo.

Mondi kwenye video yake mpya ya wimbo wa kanyaga kagongesha watu kwata kama Michael jackson. Video ni nzuri, kwa kweli Mondi ni noumar.
foleni????acha hizo mkuu
 
[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Simbaaaaaaaaaa!
 
Huwezi kufika 10 kama tatu hujaipitia, diamond kuna level hajaivuka ili afike huko unakokuwaza
Kwani kaishamfikia wizkid na davido ambao wametoa hit song pamoja na kupiga show jukwaa moja na ma rapper kama drake na migos nk???
Diamond yupi ambaye unamfananisha na MJ?? huyu huyu aliye copy instrumental ya davido?? Na usikute hata hiyo video yake mpya unayoinadi akawa ame C&P
Wizkid ft drake moja ya collabo iliyobamba kwenye top ten ya billboard. Ni nyimbo gani ya diamond ishawahi kuwekwa hata top 200 kwenye billboard?
hawezi kufika hatua ya Mj kama bado kina wizkid wamemficha kwenye international hit song
we jamaa hukuelewa thread, "anaelekea kuwa",, na sio eti ndo keshakua
 
Huwezi kufika 10 kama tatu hujaipitia, diamond kuna level hajaivuka ili afike huko unakokuwaza
Kwani kaishamfikia wizkid na davido ambao wametoa hit song pamoja na kupiga show jukwaa moja na ma rapper kama drake na migos nk???
Diamond yupi ambaye unamfananisha na MJ?? huyu huyu aliye copy instrumental ya davido?? Na usikute hata hiyo video yake mpya unayoinadi akawa ame C&P
Wizkid ft drake moja ya collabo iliyobamba kwenye top ten ya billboard. Ni nyimbo gani ya diamond ishawahi kuwekwa hata top 200 kwenye billboard?
hawezi kufika hatua ya Mj kama bado kina wizkid wamemficha kwenye international hit song
we jamaa hukuelewa thread, "anaelekea kuwa",, na sio eti ndo keshakua
 
Hahahaa mzee michael jackson ni level nyingine kabisa! Hao kina p didy, chris brown wanakesha wakiomba wawe kama michael ila ni ndoto! Michael yule ndo Lucifer kama ulikuwa hujui.
Kitambo hujatuletea story zako za Hollywood kulikoni mzee baba???
 
Jamaa Akili yako itakuwa imeganda. .Hivi una mjua MJ vizuri wewe ??

Yaani kabisaa una m-compare MJ binaadamu ambaye shughuli za mazishi yake ndio shughuli ambayo ina shika nafasi ya kwanza kwa kutazamwa na watu duniani nzima. ..Tangu technology ya TV na social network ilipoanzishwa. ...

Labda nikusaidie tu kukuelewesha kwamba Michael Jackson ndiye binaadamu maarufu kuliko binaadamu wote wanao ishi na walio wahi kuishi karne ya 21
 
Hahaha yule jamaa alikuwa ndiye rafiki wa shetani aise. .maana sio kwa kuwa na influence kiasi kile. .dah Kuna clip moja niliona akiwa ame visit Mexico Aise. ..Yule jamaa alikuwa ni shetani. ..Acha tu
Hahahaa mzee michael jackson ni level nyingine kabisa! Hao kina p didy, chris brown wanakesha wakiomba wawe kama michael ila ni ndoto! Michael yule ndo Lucifer kama ulikuwa hujui.
 
Hahaha yaani vijana wa huku wana staajabisha sana ...Yaani mtu anayejaza uwanja wenye idadi ya watu 10.0000 na bado nje unakuta Kuna watu 20.0000 wanaofuatilia show kwenye big screen. .wana mfananisha na huyu kijana anayeshindana na kina ally Kiba. .

Diamond hajafikia hata level ya ushawishi aliyo wahi kuwa nayo fally ipupa. ......Hawa vijana inabidi wa jifunze zaidi aise bado hawaijui history ya music vyema
Ndoto ya asubuhi hii!! Yale makelele ya midundo ya studio anayoyafanya Diamond unayalinganisha na sauti ya Michael Jackson yenye purity 100%?

Purity ya sauti ya MJ ni kama ala za muziki wa mbinguni! You can even feel it deep down in your soul!

Hayo makelele ya Diamond ya "tetema" ni ukichaa mtupu! He is doing business not music!
 
Michael Jackson alikuwa ni binaadamu wa kawaida but ni gifted ni sawa na kusema kuwa magufuli na Albert Einstein ni wote ni sawa tu eti kwa kuwa wote ni binaadamu wa kawaida ..Jitahidi kufuta huo ujinga
Kwani Michael Jackson ni Nani au alikuwa nani???. Si alikuwa binadamu wa Kawaida tu!!.
 
Hahaha yule jamaa alikuwa ndiye rafiki wa shetani aise. .maana sio kwa kuwa na influence kiasi kile. .dah Kuna clip moja niliona akiwa ame visit Mexico Aise. ..Yule jamaa alikuwa ni shetani. ..Acha tu
Nilibahatika kumuona karibu kama hatua tano alivyokuja Bongo 90"s..ukimtazama jamaa alikuwa anatisha (sio ubaya)bali jamaa alikuwa na power fulani watu wanazimia..alafu ananukia kama jini
 
Back
Top Bottom