Mondray

situation ya kuambiwa ana mtu wake tena anampenda wakati na ww umekufa kwake isikie tu mkuu! nilimtongoza dada mmoja bana baada ya kushusha kila neno zuri kwake,vunja vunja kabati langu lote la maneno mazuri ila mdada kakomaa na mtizamo wake eti"mimi ni mtu na nampenda" baada ya kuona habadiliki nakumbuka nilimwambia "nakuchukia sana hujui tu" mpaka leo hatusalimiani.
all in all real love pain a lot hasa pale unapompenda mtu mwenye kuamini na kukaririshwa kuwa wanaume tuko sawa.
 
I wish hii ingelitokea kwangu na Miss Natafuta..Tatizo miss anakabiliwa na PM nyingi mnoo mpaka zingine anasahau.
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] mie huwa naishia kuumia tu na kumchukia mwanamke wa hivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…