Chakorii.Kila la kheri na Mungu awatangulie
Kwi kwi kwi libabu libaharia hatimae limeamua kutulia looo ISHI MUDA MREFU UJIFUNZE.Ndugu zetu Wana MMU kwa heshma na taadhima napenda kuwataarifu rasmi kwamba hatimae Money Penny na superbug ni mtu na mchumba wake rasmi.
Tunaendelea na taratibu za kifamilia kama Mambo yakienda Kama tunavyotarajia tutawajulisha rasmi.
Mwisho Uhuru na faragha yetu yanabaki kuwa Mambo binafsi kwetu asanteni.
Superbug.
π π π π π πDah umewezaje kumtuliza huyo manzi??...Maana kwa maandiko yake anaonekana ni Mfupa uliomshindaga fisi
Hongera Btw
Hahahahahahaha makuuubwaNdugu zetu Wana MMU kwa heshma na taadhima napenda kuwataarifu rasmi kwamba hatimae Money Penny na superbug ni mtu na mchumba wake rasmi.
Tunaendelea na taratibu za kifamilia kama Mambo yakienda Kama tunavyotarajia tutawajulisha rasmi.
Mwisho Uhuru na faragha yetu yanabaki kuwa Mambo binafsi kwetu asanteni.
Superbug.
Me umemzaa?!Kwani money penny ni ke?
Acha utani huyo money ni me