Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app


Kwa insta siwezi kukufollow aisee. Labda hiyo web nitakuwa napita kila tar 30 ya mwezi

Na Hannah

Napenda KUWASHUKURU Kwa kuniweka hewani leo
Ndani ya nusu saa nimeshapata viewers elfu 3 kwenye websiteπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Napenda kumshukuru MDAU, mwanzo ulipokuja sikukuelewa lakini sasa nimekuelewa mno
Kauzi kadogo watu wamewaaaka na kutoa unga na kunifanya niingize hela kama hivi Leo za bure bure
Am sure hela zitaendelea kuingia unless Mods WA JF wafute huu Uzi, wakiuacha wiki nzima nitapata views elfu laki 1 yaania milion 10 plusπŸ’ͺ

MTU anapodhani amekukomoa Kwa kukupiga teke, kumbe amekuongezea mwendo WA safari ndio leo

Asanteni wapendwa leo umeniingizia hela ya maana
Endeleeni Ku comment nizidi kupata helaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Cc: Smart911 wachaga Sisi tumekuja mjini kutafuta hela bwana sio kuuza uchiπŸƒπŸƒπŸƒπŸƒ
Kama hivi leo nishaingiza hela WordPress bure bure
Na mpaka wajue kuwa walichokifanya sio kunikomoa NI kunisogeza mbele KIMAISHA na wameniingiziaje hela sio leoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
KENZY
 
Iko vizuri sana
 
Uwe unakuja kujichekesha chekesha kwenye minyegesho ya huyu mdau. Maana anatafuta umaarufu kwa nguvu kulazimisha kuonekana eti tunamchukia ndiyo maana hatucomment.
lazima wewe utakuwa unamatatizo kichwan kwa hiyo kisa kasema wanawake ww ndio umetumwa kuja kuwajibia ni muakilishiwa wanawake mwache nyanya yang ajimwambafai kwa raha zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
lazima wewe utakuwa unamatatizo kichwan kwa hiyo kisa kasema wanawake ww ndio umetumwa kuja kuwajibia ni muakilishiwa wanawake mwache nyanya yang ajimwambafai kwa raha zake

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo unapoteza muda ndugu
Me nilichofurahi NI kunisaidia kujitangaza website yangu bila mods kujua au kuona
Hapa Nina traffic ya kufa mtu
Mpaka MTU aje akae sawa kialiki channel urudi normal me nishaingiza hela za kufa mtuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Vita vya panzi, furaha ya money penny
 
Money Penny wanaume tunakupenda sababu nawe unatupenda, halafu unavimapepe flani hivi vyakuvutia...umenielewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
I know and I thank u ❀️
Majinga wanadhani kupendana mpaka tupigane dyu dyuπŸƒπŸƒπŸƒ ndio akili za wanawake wengiπŸ˜‚πŸ˜‚
Ila kuna akina mama ambao bado hamjawapenda ambao hawavutii kwenu ndio roho zinawauma wanatukana mwanzo mwisho tangu Asubuhi mpaka sahivi bila kutumia akili
Wakati mtukwanaji anaingia pesaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…