Wanaume WA JF wanasema hivi[emoji23]
Hongereni mademu wa 6
Hannah Hawachi Dinazarde Binti1 Hawachi Tuttyfruity mnaopigana na mwanamke mmoja Tu ambae amewaumiza kichwa siku nzima hata KAZo zenu za maana hamjafanya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hamjaelewa kilichoandikwa Kwa usahihi kwenye uzi na bado akawashinda arguments kiume zaidi[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
hamjafanya kazi[emoji23] na bado mkamwingizia shekeli
Tumewaona, na tunamshukuru Mdau kwasababu bila yeye
Money Penny asingeingiza hela nyingi Leo
Mjifunze kuwa ubaya sikuhizi haujengi unanufaisha watu tena unaingizia watu hela
Na wameamini kiasi gani wanawake hampendani, mngekuwa mnapendana msingeshinda masaa 12 mnaongea ujinga ambao Kwanza hata haikuwa unawahusu
Cc:
Smart911 anasbo KENZY Extrovert kabanga Galileo_Gaucho sab Pablo
Chenchele
KakaJambazi Ushimen Will jr Bujibuji Hazard CFC G bznes SK2016 yuzazifu
Mgonga Like
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss