Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #301
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Aisee
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yakoMkuu mstili aisee sio vizuri.
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yakoNmejikuta nimekwenda instagram nmeshangazwa mno hongera sana umenishangaza mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yakoKuna mtu anaitwa Le mutuz mtafute akupe ABC za JF. Naona wewe mgeni ila JF sio sehemu ya kuanika identity yako. Watu wanatumia Fake ID ila wengi ni tunaoshi nao mtaani. Yani mtu anakujua wewe humjui. Ataku attack anavyotaka . Sasa wewe unajulikana (facebook, insta, YouTube etc) ni hatari sana kwa privacy yako. Ila time will tell. Utakimbia tu humu urudi na ID mpya.
Sent From Galaxy S9
Huna huna Tu
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yakoBro chill [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sio hater wako. I'm your biggest fan. Don't get ahead of yourself... endelea kushusha mambo.
Sent From Galaxy S9
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Wamegoma kuelewa sasa wanatukanaHatimae mtetezi wetu kapatikana hasa hizo tips tatu ni muhimu sana wanawake mzielewe ili tuishi kwa amani
Sent from my iPhone using JamiiForums
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yakoNipe ID yake ya insta nikaperuzi...
Sent From Galaxy S9
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yakoNipe @ yake insta
Sent From Galaxy S9
Wewe mimi mda wa kufatilia huo uchuzi wako huko YouTube sina.MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washarika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred zimezaa matundaππ
Next time ukitaka Ku pick up a fight na Mimi, plz wear your best garment coz mine shines like money todayπ₯
Hii ndo shida, hamna MTU aloongelea YouTube hapa πππ kumbe hata kusoma hajui anataka ugomvi na MimiπππWewe mimi mda wa kufatilia huo uchuzi wako huko YouTube sina.
Pureeeeeach Brother, me nashukuru kwasababu wanaume sio waongeaji NI watazamani na mmeshajua ukweli uko wapiNa kwa huu uzii watakuchukia zaidiππ piaa uzi huu umekuongezea kundi kubwa la wanaume wanaokukubalπ
Leo umejionea Kwa macho ee?! Umeamini ee??
Sikia maneno ya Mwanaume mwenye uuume sasa akina mama nyieππππNa kwa huu uzii watakuchukia zaidiππ piaa uzi huu umekuongezea kundi kubwa la wanaume wanaokukubalπ
"Alafu wameenda kumtafuta lemutuz wap sijui huko kusema ananijua?? πππππPureeeeeach Brother, me nashukuru kwasababu wanaume sio waongeaji NI watazamani na mmeshajua ukweli uko wapi
Poleni Sana wanaume, kupata wanawake wa sampuli hii ya hawa KIMAISHA hausogei kwakweli
Alafu wameenda kumtafuta lemutuz wap sijui huko kusema ananijua?? πππππ
Alete basi iyo picha ya uchi wangu wenye Sura yangu kamili tuone, mpaka sasa masaa yashapita hajaleta kitu sababu Hanaππππ