Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Nimebaki najiuliza comment yako ile ina ubaya gani kiasi akushambulie😁😁😁
Mama Jusi wanaanza kujirudi, wameshajua njia WALIOKUWA wanaiendea sio Kwa mtoto Yesu NI Kwa farao😂😂😂
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 
Mi sielew labda alihisi mi sijui kua mwanaume ili aitwe mwanaume lazima awe na uume[emoji38]

All in all leo nmewafurahia sana humu
Na wanaume wanakushukuru Sana
Ila wapo interested na money penny zaidi yako😂😂😂 that's the problem

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 
Sasahivi ndio akili imepanda kichwani[emoji23][emoji23][emoji23]
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa[emoji91][emoji173][emoji123]
Mm nmekuja mwisho niku remind kua
Wanyamwezi sio malofa kama ww, halafu hua sio ma attention seeker.

Kua na company na guys ulitakiwa uwe mnyamwezi ila sio uwe na umama mwingi.
 
Na wanaume wanakushukuru Sana
Ila wapo interested na money penny zaidi yako[emoji23][emoji23][emoji23] that's the problem

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa[emoji91][emoji173][emoji123]
Mi sitaki wawe interested na mm sina cha kuoffer mama hata maneno siuzi ss nitawavutia na nn.
Jiandae upumzike nahisi ushafikisha M5 ss hv sio laki8 tena
 
Mm nmekuja mwisho niku remind kua
Wanyamwezi sio malofa kama ww, halafu hua sio ma attention seeker.

Kua na company na guys ulitakiwa uwe mnyamwezi ila sio uwe na umama mwingi.
😂😂😂😂 ona sasa unavyofeli, Nani kakuuliza kabila lako labda😂😂😂
Hongera Kwa kufunguka na kuwaaibisha wanyamwezi😂😂😂
Maskini umeboa na kuboa kama kuku kamwagiwa maji
Umesoma Uzi Kwa mara nyingi na kugundua kuwa comment zako zoooote za matusi ulizoandika umejiaibisha vya kutosha sasa unarudi mikono nyuma, vepe?! 🙄

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 
Mi sitaki wawe interested na mm sina cha kuoffer mama hata maneno siuzi ss nitawavutia na nn.
Jiandae upumzike nahisi ushafikisha M5 ss hv sio laki8 tena
Exactly mama so shut it and next time kabla hujacomment tumia akili kidogo🤧
Huu Uzi uliwahusu zaidi wanaume nashangaa we mama umetokea wapi??
Aibu😂😂😂
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ona sasa unavyofeli, Nani kakuuliza kabila lako labda[emoji23][emoji23][emoji23]
Hongera Kwa kufunguka na kuwaaibisha wanyamwezi[emoji23][emoji23][emoji23]
Maskini umeboa na kuboa kama kuku kamwagiwa maji
Umesoma Uzi Kwa mara nyingi na kugundua kuwa comment zako zoooote za matusi ulizoandika umejiaibisha vya kutosha sasa unarudi mikono nyuma, vepe?! [emoji849]

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa[emoji91][emoji173][emoji123]
Mim niandike come ya matusi niachwe salama ningekua nishalimwa ban maana hua nayatapika hasa halafu siwezi mtukana bibiangu nitakudhalilisha bure

Ur mentally retarded na magazeti yako humu
Kamtengee mumeo dinner
 
Mim niandike come ya matusi niachwe salama ningekua nishalimwa ban maana hua nayatapika hasa halafu siwezi mtukana bibiangu nitakudhalilisha bure

Ur mentally retarded na magazeti yako humu
Kamtengee mumeo dinner
Ban Leo hamna
Spesho ya mods Kwa ajili yangu Ku prove maneno ya MDAU
Unasema am retarded lakini uko hapa mpaka SAA hizi unatutajia kabila lako wakati hujaulizwa😂😂😂, sijaelewa me na wewe Nani retarded?!
Anti go and sleep now, kesho NI siku nyingine tena ya kukua kiakili
Now umekubali kuwa Nina mume 😂😂😂
Au ngoja nikuitie wadogozangu KENZY AU Smart911 Extrovert waje wakusaidie kufikiria kama wanaume
Lakini habari ya ukabila ndio unazidi kupotea hamna MTU aliekuuliza kabila lako🏃🏃🏃🏃🏃

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
 
Usipende sana kujigamba kwamba upo tofauti na wanawake wengine. Kwani kuwa mwanamke ni weakness? Unadai kwamba wanawake wana majungu lakini ulichoandika hapa ni majungu matupu. Unadai kwamba umefanikiwa sana kwasababu unajitenga na wanawake lakini sidhani kama ni kweli mafanikio yako ni makubwa sana kulinganisha na watu wenye marafiki wakike. Mafanikio hayaji kwasababu ya the gender you hangout with. Una kitu kinaitwa "I'm not like other women" syndrome, and I advise you to be proud of being a woman usifikiri uanaume ndo bora.
Kitu kingine ulichonacho ni "pick me" syndrome kwamba wewe upo radhi kulamba miguu ya wanaume ili uonekane bora kuliko wanawake wengine. Hii ni indication ya shida ya kisaikolojia pamoja na kutojiamini.
Lastly sidhani kama wanawake wanakuchukia nahisi hii ni namna ya wewe kujitengenezea kiclout na vitraffic kwenye channel yako ya youtube.
 
Ban Leo hamna
Spesho ya mods Kwa ajili yangu Ku prove maneno ya MDAU
Unasema am retarded lakini uko hapa mpaka SAA hizi unatutajia kabila lako wakati hujaulizwa[emoji23][emoji23][emoji23], sijaelewa me na wewe Nani retarded?!
Anti go and sleep now, kesho NI siku nyingine tena ya kukua kiakili
Now umekubali kuwa Nina mume [emoji23][emoji23][emoji23]
Au ngoja nikuitie wadogozangu KENZY AU Smart911 Extrovert waje wakusaidie kufikiria kama wanaume
Lakini habari ya ukabila ndio unazidi kupotea hamna MTU aliekuuliza kabila lako[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa[emoji91][emoji173][emoji123]
Bibi kalale
Tushachoka kukuchora
Unasemeshwa jaje unajibu utopolo ili uonekane tu na ww unapoint zakibabe[emoji38]
 
Ndo Uje uniaminishe huyu ni demu na mm nikuelewe?

Sent using Gun Trigger
 
Back
Top Bottom