Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Money Penny kwanini unapendwa sana na wanaume na sio wanawake kwenye Jamii Forums?

Big up sana my "Bibi bomba"
Umenifurahisha sana.
Yani NI sheedah
Me nachoshukuru NI kwamba nazidi kumimona viewed kwenye website yangu walonitangazia[emoji23][emoji23][emoji23]
Acha wakoment hapa weee watu wote JF wakisoma wanapanda kwenye website ma naingiza hela

Ndio akili ya kiume hio, sio kupiga nuksi JF alafu huna hata 100

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani anti as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru
We kibali Tu umeshashindwa [emoji23]

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane kesho Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa[emoji91][emoji3590][emoji123]
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda[emoji23][emoji23]
Sijui kwann nmejikuta nakuonea huruma, dah unajisifu sana mkuu punguza hiyo, acha watu wakusifu

Sent using Gun Trigger
 
mwanzisha mada mbona hana kosa lolote
aliyo andika yote ni kweli na sahihi
ana point ya msingi
mapovu ya nini?

"sipendi kuombwa hela"
Nashangaa😂😂😂😂
Ndio maana nasema akili za wanaume NI za wanaume tu
 
Sijui kwann nmejikuta nakuonea huruma, dah unajisifu sana mkuu punguza hiyo, acha watu wakusifu

Sent using Gun Trigger
Aisee😂😂😂😂
As long as nimeshakamata Ur attention me sina neno, naingiza fweza
Hakuna aliejisifia hapo hio NI profile yangu kama walizonazo wengine, umenunua umecheka hainihusu🏃🏃🏃🏃💪 Ila sio mbaya hamnaga mwanaume anaependaga a confident woman!

Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,tuonane leo Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka sana
Hamiui maoney penny haahhaah


Sent using Jamii Forums mobile app
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,usikose leo Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya Jana na leo boss
Washafika viewers laki 8 kwenye website mpaka sasa🔥❤️💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
 
Nilimuweka kitambo sana....
Nilikuwa nakereka na mada zake, sijui kwann leo imetokea hii mada on top.
Yani as long as mimi na Mdau tumekupeleka tulikokuwa tunataka na umefika na kutuingizia hela, Sisi hatuna la ziada zaidi ya kukushukuru

MDAU popote ulipo najua unafuatilia Kwa karibu,usikose leo Mlimani City nikupe incentive yako
Sio Kwa trafficking ya Jana na leo boss
Washafika viewers laki 9 kwenye website mpaka sasa🔥❤️💪
Duh kama uchawi vile kumbe NI hatred za wanawake zimezaa matunda😂😂
 
Back
Top Bottom