Monitoring and evaluation, Kwa yoyote anayefahamu hili

A cha matusi mkuu Mimi nipo kwenye mambo ya Consultancy na nishafanya kazi na wataalamu wengi tu wanaenda Nairobi kuchukua Darasa.Hi kitu wakenya wako mbali sana kuliko sisi waltz,penye ukweli kubali tu mkuu hata kama wakenya huwapendi.
Labda wanafata unafuu,ila mafundi wa M n E wapo Tanzania,
 
BACAS sua .morogoro wanatoa ni consultacy ya sua utapat kila kitu.ulinishangaza wewe uliyesema kenya maana tanzania wako fit sana.hapo sua niliwahi kufanya
 
BACAS sua .morogoro wanatoa ni consultacy ya sua utapat kila kitu.ulinishangaza wewe uliyesema kenya maana tanzania wako fit sana.hapo sua niliwahi kufanya
watu wengine ni wa kuwasamehe tu
 
BACAS sua .morogoro wanatoa ni consultacy ya sua utapat kila kitu.ulinishangaza wewe uliyesema kenya maana tanzania wako fit sana.hapo sua niliwahi kufanya

Sawa nitafatilia mkuu.
 
Kuna chuo Arusha kinaitwa MSC - TCDC Huwa wanatoa short course ya M&E check information zako kwa mtandao
 
Open University of Tanzania ndio the right solution to your problem
 
Cheki na ESAMI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…