Mkoroshokigoli
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 14,593
- 5,581
Labda wanafata unafuu,ila mafundi wa M n E wapo Tanzania,A cha matusi mkuu Mimi nipo kwenye mambo ya Consultancy na nishafanya kazi na wataalamu wengi tu wanaenda Nairobi kuchukua Darasa.Hi kitu wakenya wako mbali sana kuliko sisi waltz,penye ukweli kubali tu mkuu hata kama wakenya huwapendi.