Umdharau nani? Tokea lini mtu mjinga akawa na dharau kisha ikamshika mtu mjanja? Nani aondokee? Wewe si mungu hawezi kupannga matokeo ya 25 October viroba unakunywa mwenyewe uliyeshikwa Akili na Nape na kukariri Goli la mkono.
Umepanic wewe! teh teh teh teh.......vp umetoka kujinyea km mgombea wako nn? tulia tutawanyooooosha tuuuu...... chezea ccm weye!
Yapo mengi sana mpaka kufikia October 25 utakuwa umeyasikia kwa kiasi kikubwa.mkuu amilyroley hongera kwa kazi nzuri endelea kufukua madhambi ya huyu wanaemuona malaika.
VIVA UKAWA!!!
duh aisee haikubaliki kabisa Tanzania.ccm bye bye
IT saccos ya Mtei kazini
Asa usichoelewa nin hapo?
...na picha umewekewa!
Hivi ukiwa CCM kila upumbavu unatakiwa kutetea?
ukiwa ccm upumbavu unaofanywa na ccm ni sawa ndo maana skendo za escrow, epa, mabehewa feki bado inaonekana si ufisadi kwa wanaccm, kwao ni richmond tu
Magufuli wanaendana sana na Dr Slaa tofauti ni ndogo sana.
kwa nchi kama tanzania nchi iliyo jamaa wizi kuanzia serikalini, vyama vya siasa na hata makampuni, kusaidia ndugu wala huwezi kusema ni kosa. Magufli ni malaika ukifananisha na wanasiasa wengine wote. Nyie mnafuga jangiri la kimataifa halafu unakuja kusema Magufuli sii msafi.Huo upendeleo wa Mali za Umma kwa ndugu na michepuko haukubaliki popote duniani.