Monitoring thread: John Pombe Magufuli katika Awamu ya Nne

Uuzwaji wa nyumba za serikali ni wa serikali nzima ya BM akiwemo JK ambaye hapa mnasema ni mkombozi na ana nyumba ya kununua sasa leo kumpa lawama juu ya hizo bwana Pombe ni kumuonea JK anayo na alificha hadi last minutes .Je ndiyo usafi wa JK ?
Kabisa
 
Cha kujiuliza ni kwa nini Gazeti la Rai linalomilikiwa na Rostam Azizi limemuandama Magufuli? Ni wazi huyu ni mawe katika mchele na itabidi apembuliwe hivi karibuni. Lakini kwa kupenda madaraka atasubiri hadi aumbuliwe!
Kitila
 
Mkuu
 
Nawatakia siku njema sana lusungo Chakaza Daudi Mchambuzi Tabu tupu @sifileo na wengine
 
Kuna watu watayakana maandishi yao wenyewe
 
Hii ilikuwa ni jamboforums, baadae ikawa jamiiforums
Hii ilikuwa ya viwango vikubwa sana, lakini sababu mojawapo ni kuwa kulikuwa na uhuru wa habari enzi hizo kwa hiyo kulikuwa na source ya information nyingi hata serikalini
 
Alaah!

Mzalendo huyu huyo wa Chato?
 
Vyombo vya ulinzi na usalama viko sawa. Hakuna linalofanyika kwa bahati mbaya.
Kila kitu kimepangiliwa.
 
Hii nchi inaharibiwa na wana mtandao...

Hawa jamaa wamejaza machawa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii yote...

Kazi yao ni kupaka matope wasiowataka na kujisifia wao...

Bahati mbaya wameteka hadi vyombo vya ulinzi.
 
Hii nchi inaharibiwa na wana mtandao...

Hawa jamaa wamejaza machawa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii yote...

Kazi yao ni kupaka matope wasiowataka na kujisifia wao...

Bahati mbaya wameteka hadi vyombo vya ulinzi.
Umenena vyema sana.
Na inaonekana wanalipwa vizuri sana na waajiri wao.
Maana si kwa kucharuka hivo
 
R.I.P Le Mutuz
Ila watu walikua na maono sana humu JF duuu
Rest easy Legends!
 
Hii nchi inaharibiwa na wana mtandao...

Hawa jamaa wamejaza machawa kwenye vyombo mbalimbali vya habari na mitandao ya kijamii yote...

Kazi yao ni kupaka matope wasiowataka na kujisifia wao...

Bahati mbaya wameteka hadi vyombo vya ulinzi.
Upo sahihi mkuu
 
Jambo Forum ilipokua Jambo. Kabla haijaletwa ubatizo wa Jamiiforums ya kina rikiboy kimasihara na Kina Bichwa komwe.
 
Jamii forums ya miaka ile ilikuwa na miamba kweli kweli na pia vyombo vya habari vilikuwa vinafanya kazi yake ipasavyo.

Kurudisha hii culture kwenye jamii yetu sasa hivi ni mtihani mkubwa

Magufuli anayesemwa huku ndio kwenye vyombo vya habari katurudisha miaka 50 nyuma

Maisha haya dah!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…