TANZIA Monsignori (Padre) Deogratias Mbiku wa Chuo Kikuu Dar es Salaam Afariki Dunia

TANZIA Monsignori (Padre) Deogratias Mbiku wa Chuo Kikuu Dar es Salaam Afariki Dunia

Mwanaukweli

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2007
Posts
4,786
Reaction score
1,715
Naleta hapa Tangazo la Kifo cha Msgr Mbiku kama lilivyotolewa na Askofu Mkuu wa Dar es Salaam.


Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo.

Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha Padri wetu mpendwa Monsinyori Deogratias Hukumu Mbiku wa Jimbo Kuu la DSM, aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Chuo Kikuu. Monsinyori Mbiku amefariki leo tarehe 04 Aprili 2021 saa 12:45 jioni katika Hospitali ya Kardinali Rugambwa, DSM, alipokuwa akitibiwa. Taarifa zaidi juu ya taratibu za Mazishi zinapangwa na tutawataarifu.

Naomba tumuombee Pumziko la Milele Mbinguni.

ASANTENI.

+ Jude THADDAEUS Ruwa'ichi,
Askofu Mkuu wa DSM
View attachment 1744014View attachment 1744015
 
Kwahiyo umeamua watu waanze kuspeculate chanzo cha kifo sio? Kwanini usiseme kama ni ugonjwa au ni nini?
Fanyeni mfanyayo, ila ifahamike tu, hatuna hiyo pesa ya kununua chanjo. Isije kuwa kuna mapandikizi yana zunguka hii nchi na vichupa vya sumu na kupulizia watu mashuhuri na wenye influence kidini na kisiasa kisha wanapata shida ya kupumua na kufariki, ili kuweka msukumo wa kukubali chanjo za majaribio za msaada na baadae tununue
 
Kwahiyo umeamua watu waanze kuspeculate chanzo cha kifo sio? Kwanini usiseme kama ni ugonjwa au ni nini?
Fanyeni mfanyayo, ila ifahamike tu, hatuna hiyo pesa ya kununua chanjo. Isije kuwa kuna mapandikizi yana zunguka hii nchi na vichupa vya sumu na kupulizia watu mashuhuri na wenye influence kidini na kisiasa kisha wanapata shida ya kupumua na kufariki, ili kuweka msukumo wa kukubali chanjo za majaribio za msaada na baadae tununue
Habari hapa ni kuwa Padre Mbiku amefariki leo jioni.

Pia kwamba Jana jioni alipelekwa hospitalini Ukonga akiwa na changamoto za kupumua.

Kama Una hoja ya conspiracy theory juu ya chanjo, Mimi siko huko. Pengine ingefaa uanzishe Uzi maalum Kwa ajili hiyo.

Asante.
 
Kigwangala anataka chanjo na anasema watu wa aina yako ni wajinga! Nimjibu aje?
Kwahiyo umeamua watu waanze kuspeculate chanzo cha kifo sio? Kwanini usiseme kama ni ugonjwa au ni nini?
Fanyeni mfanyayo, ila ifahamike tu, hatuna hiyo pesa ya kununua chanjo. Isije kuwa kuna mapandikizi yana zunguka hii nchi na vichupa vya sumu na kupulizia watu mashuhuri na wenye influence kidini na kisiasa kisha wanapata shida ya kupumua na kufariki, ili kuweka msukumo wa kukubali chanjo za majaribio za msaada na baadae tununue
 
Naleta hapa Tangazo la Kifo cha Msgr Mbiku kama lilivyotolewa na Askofu Mkuu wa Dar es Salaam.

View attachment 1743437

Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo.

Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha Padri wetu mpendwa Monsinyori Deogratias Hukumu Mbiku wa Jimbo Kuu la DSM, aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Chuo Kikuu. Monsinyori Mbiku amefariki leo tarehe 04 Aprili 2021 saa 12:45 jioni katika Hospitali ya Kardinali Rugambwa, DSM, alipokuwa akitibiwa. Taarifa zaidi juu ya taratibu za Mazishi zinapangwa na tutawataarifu.

Naomba tumuombee Pumziko la Milele Mbinguni.

ASANTENI.

+ Jude THADDAEUS Ruwa'ichi,
Askofu Mkuu wa DSM
Huwezi ukapenda kutoa taarifa ya kifo, sema nasikitika kutoa taarifa ya kifo. Unless marehemu alikuwa adui yako.
 
Habari hapa ni kuwa Padre Mbiku amefariki leo jioni.

Pia kwamba Jana jioni alipelekwa hospitalini Ukonga akiwa na changamoto za kupumua.

Kama Una hoja ya conspiracy theory juu ya chanjo, Mimi siko huko. Pengine ingefaa uanzishe Uzi maalum Kwa ajili hiyo.

Asante.
Mkuu achana na hiyo mbuzi imekaa kama mpiga ramli chonganishi. Utabiri wa kipumbavu kweli, hivyo mtu kufariki kwa corona ni kuishinikiza serikali kukubali chanjo? Hii ni akili ya makalioni haswaa.
 
Habari hapa ni kuwa Padre Mbiku amefariki leo jioni.

Pia kwamba Jana jioni alipelekwa hospitalini Ukonga akiwa na changamoto za kupumua.

Kama Una hoja ya conspiracy theory juu ya chanjo, Mimi siko huko. Pengine ingefaa uanzishe Uzi maalum Kwa ajili hiyo.

Asante.
Usinipangie cha kuandika so as long as kipo ndani ya mada na sivunji sheria za jukwaa, uwe na adabu, si kwa baba yako hapa
 
Kigwangala anataka chanjo na anasema watu wa aina yako ni wajinga! Nimjibu aje?
Muulize, huko walikochoma chanjo, wameacha kuvaa barakoa?, wameacha lockdown?, wameacha social distancing?, idadi ya wagonjwa imepungua?, mfano France
 
Back
Top Bottom