Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulikuwa tunamuita injini....biblia yotee iko kwa kichwa.hakika baba ametuachaAsiyejua tunalia nini nenda YouTube search his name then utatuelewa tumepoteza nini [emoji24][emoji24][emoji24]
Jana alikimbizwa Hospitali ya Cardinal Rugambwa, Ukonga, akiwa na changamoto ya kupumua
Kwa kweli alijaliwa Kwa namna yake! Na wakati anaongea alikuwa hatumii notes zozoteTulikuwa tunamuita injini....biblia yotee iko kwa kichwa.hakika baba ametuacha
Hakuwa na changamoto hiyoChangamoto za kupumua
Rest well father Mbiku💔🕊🙏Naleta hapa Tangazo la Kifo cha Msgr Mbiku kama lilivyotolewa na Askofu Mkuu wa Dar es Salaam.
View attachment 1743437
View attachment 1743518
Wapendwa Mapadri, Mashemasi, Watawa na taifa lote la Mungu, Kristo.
Kwa masikitiko makubwa napenda kuwataarifu juu ya kifo cha Padri wetu mpendwa Monsinyori Deogratias Hukumu Mbiku wa Jimbo Kuu la DSM, aliyekuwa Paroko wa Parokia ya Chuo Kikuu. Monsinyori Mbiku amefariki leo tarehe 04 Aprili 2021 saa 12:45 jioni katika Hospitali ya Kardinali Rugambwa, DSM, alipokuwa akitibiwa. Taarifa zaidi juu ya taratibu za Mazishi zinapangwa na tutawataarifu.
Naomba tumuombee Pumziko la Milele Mbinguni.
ASANTENI.
+ Jude THADDAEUS Ruwa'ichi,
Askofu Mkuu wa DSM
Kwahiyo tatizo la kupumua wewe huoni uhusiano na chanjo, sasa kuna haja gani ya kuendelea kujadili na wewe, au unafikiri hizi chanjo ni za kukinga mbwa dhidi ya ukichaa?
SawaHuyo amekufa kwa tatizo la kupumua.
Hiyo chanjo ya nn? Au unafikiri ni Corona.
Tanzania hakuna ugonjwa wa Corona. Tuna ugonjwa wa kupumua