TANZIA Monsignori (Padre) Deogratias Mbiku wa Chuo Kikuu Dar es Salaam Afariki Dunia

TANZIA Monsignori (Padre) Deogratias Mbiku wa Chuo Kikuu Dar es Salaam Afariki Dunia

Kwahiyo umeamua watu waanze kuspeculate chanzo cha kifo sio? Kwanini usiseme kama ni ugonjwa au ni nini?
Fanyeni mfanyayo, ila ifahamike tu, hatuna hiyo pesa ya kununua chanjo. Isije kuwa kuna mapandikizi yana zunguka hii nchi na vichupa vya sumu na kupulizia watu mashuhuri na wenye influence kidini na kisiasa kisha wanapata shida ya kupumua na kufariki, ili kuweka msukumo wa kukubali chanjo za majaribio za msaada na baadae tununue
😩😩😩😶😩
 
Usinipangie cha kuandika so as long as kipo ndani ya mada na sivunji sheria za jukwaa, uwe na adabu, si kwa baba yako hapa
Monsinyori Mbiku amefariki leo Kwa changamoto za kupumua.

Tangazo limetolewa na Askofu Mkuu wa Dar es Salaam na Mimi nimekopi na kupesti.
 
Nawatakia Pasaka njema hapo Ufipa bwashee!
Screenshot_20210404-212300.png
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Rest in Piece mtaalamu wa biblia Tanzania.
 
Isije kuwa kuna mapandikizi yana zunguka hii nchi na vichupa vya sumu na kupulizia watu mashuhuri na wenye influence kidini na kisiasa kisha wanapata shida ya kupumua na kufariki, ili kuweka msukumo wa kukubal
Kama haya yote yanatokea usalama wa Taifa wanafanya kazi gani au ndio kazi yao ni kupambana na vyama vya upinzani ambavyo vipo kwa mujibu wa katiba na sheria?
 
Kwahiyo umeamua watu waanze kuspeculate chanzo cha kifo sio? Kwanini usiseme kama ni ugonjwa au ni nini?
Fanyeni mfanyayo, ila ifahamike tu, hatuna hiyo pesa ya kununua chanjo. Isije kuwa kuna mapandikizi yana zunguka hii nchi na vichupa vya sumu na kupulizia watu mashuhuri na wenye influence kidini na kisiasa kisha wanapata shida ya kupumua na kufariki, ili kuweka msukumo wa kukubali chanjo za majaribio za msaada na baadae tununue
Kwenye huu ujinga mmebaki wachache sana.
 
Mambo ya chanjo yako wapi hapo kwenye tangazo la Baba Askofu Ruwaichi?
Kwahiyo tatizo la kupumua wewe huoni uhusiano na chanjo, sasa kuna haja gani ya kuendelea kujadili na wewe, au unafikiri hizi chanjo ni za kukinga mbwa dhidi ya ukichaa?
 
Mungu Baba wa Mbinguni akuweke miongoni mwa wateule wake wa Sayuni. Naye akufanye katika wale watakao furahi mbele ya uso wako wakikusifu na kukutumikia Milele na Milele Amina
 
Back
Top Bottom