TANZIA Monsignori (Padre) Deogratias Mbiku wa Chuo Kikuu Dar es Salaam Afariki Dunia

Bila shaka kutakuwa Na msemaji wa TEC yupo ndani
 
Rest well father Mbiku💔🕊🙏
 
Huyo amekufa kwa tatizo la kupumua.
Hiyo chanjo ya nn? Au unafikiri ni Corona.
Tanzania hakuna ugonjwa wa Corona. Tuna ugonjwa wa kupumua
Kwahiyo tatizo la kupumua wewe huoni uhusiano na chanjo, sasa kuna haja gani ya kuendelea kujadili na wewe, au unafikiri hizi chanjo ni za kukinga mbwa dhidi ya ukichaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…