King faisal
JF-Expert Member
- Jun 7, 2022
- 1,077
- 2,705
Uliwashwa niny kuniquote wew chokoI knew about your idiocy before you posted yours. Nyumbu mkubwa we!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uliwashwa niny kuniquote wew chokoI knew about your idiocy before you posted yours. Nyumbu mkubwa we!
Poa kajala, nikutakie marudiano mema na harmonize!Sawa gigy money
Anawasha huyu abdalla kichwa wazi wangu hivyo nilikuwa namtafuta upinde mmoja anayehudumu bottom Ili nikasafishe ndo nikakuona.Uliwashwa niny kuniquote wew choko
Hivi hawa m23 mbona wanasumbua hiviBaada ya kuzuia matumizi ya anga kwa ndege za kijeshi za DRC, badae M23 ilisema hata UN hairuhusiwi kutumia uwanja huo wa Goma.
Taarifa ziliwafikia viongozi wa Umoja wa mataifa kwenye kikao cha dharula huko New York, na kutangaza kwamba wamezingilwa na uwanja hautumiki.
Uwanja huo uliopo mpakani mwa Rwanda na Congo. UN imeiomba Rwanda kupokea wanajeshi wake na vifaa vyao, na moja kwa moja wengi wao wakaanza kuelekea Rwanda, huku wakiacha SAMIDRC, Burundi, FARDC na Wazalendo nyuma.
Taarifa zinadai mpaka sasa, Afrika kusini imepoteza tena wanajeshi wengine, huku magari yao ya kivita yakiharibiwa vibaya na M23.
Ni kweli👍Baada ya kuzuia matumizi ya anga kwa ndege za kijeshi za DRC, badae M23 ilisema hata UN hairuhusiwi kutumia uwanja huo wa Goma.
Taarifa ziliwafikia viongozi wa Umoja wa mataifa kwenye kikao cha dharula huko New York, na kutangaza kwamba wamezingilwa na uwanja hautumiki.
Uwanja huo uliopo mpakani mwa Rwanda na Congo. UN imeiomba Rwanda kupokea wanajeshi wake na vifaa vyao, na moja kwa moja wengi wao wakaanza kuelekea Rwanda, huku wakiacha SAMIDRC, Burundi, FARDC na Wazalendo nyuma.
Taarifa zinadai mpaka sasa, Afrika kusini imepoteza tena wanajeshi wengine, huku magari yao ya kivita yakiharibiwa vibaya na M23.
Siyo ajabuNilitoa angalizo mapema sana m23 sio wa kuendewa kichwa kichwa mtarudi mkiwa ndani ya mabox
Congolese wanapiga raia wake Banyamurenge na kuwaondolea haki zao za uraia, kwanini ukasaidie serikali ya kikabila inayotaka kumaliza raia wake? Vita ya kipumbavu sana and hopefully M23 watamnyoosha Tshesekedi dereva wa Uber from BrusselsVita vya kijinga ndio vinakuwaje? Ufafanuzi tafadhali