MONUSCO yaanza kukimbilia Rwanda

Hivi hawa m23 mbona wanasumbua hivi
Na ni wakokozi duh
 
Ni kweli👍
 
Waasi wana tumia drones huku nyie mnaenda na Bus za YUTONG
 
Vita vya kijinga ndio vinakuwaje? Ufafanuzi tafadhali
Congolese wanapiga raia wake Banyamurenge na kuwaondolea haki zao za uraia, kwanini ukasaidie serikali ya kikabila inayotaka kumaliza raia wake? Vita ya kipumbavu sana and hopefully M23 watamnyoosha Tshesekedi dereva wa Uber from Brussels
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…