Mie wala sidanganyi aisee jamaa anaenda kula vitamu..wee yule umuweke style ya mbuzi kagoma kwenda, ass dangling in mid air, u will just be praying that u manage to finish twenty strokes kabla hujamwaga ubongo🤣🤣🤣🤣Ndio nimeskia hivyo . Hivi nyie wanaume mnapopoa sana jamaa au mnaona wivu anaenda kujimilikisha zigo lile hehee
Eeh mzee wa hizi kazi [emoji2] haya mpunguze makasiriko sasa.Mie wala sidanganyi aisee jamaa anaenda kula vitamu..wee yule umuweke style ya mbuzi kagoma kwenda, ass dangling in mid air, u will just be praying that u manage to finish twenty strokes kabla hujamwaga ubongo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hamna makasiriko dear, just chitchatEeh mzee wa hizi kazi [emoji2] haya mpunguze makasiriko sasa.
Sure comrade hii jamaa sijui ndio ushamba au nn, kakera sana japo watu watahisi tunawivu nae kisa hamo anamawe mengiU nailed it mate! It is unfathomable that a man so talented, so loaded will, with his conscious mind change his religion to just marry a woman who he can easily keep shagging without the need to change his religion
Ukweli mchunguMy friend, moral to the story ni tutafute pesa kwa nguvu, no woman wants a broke ass nigga. Smash your goals my G, every time you do that women will come running after you...
Sasa rafiki kila mtu si ana mipango yake mwisho wa siku maisha pia ni yake. Aachwe afanye analoona kwake ni sahihi.Sure comrade hii jamaa sijui ndio ushamba au nn, kakera sana japo watu watahisi tunawivu nae kisa hamo anamawe mengi
Sawa bossSasa rafiki kila mtu si ana mipango yake mwisho wa siku maisha pia ni yake. Aachwe afanye analoona kwake ni sahihi.
Mimi siku zote nimekua nikisema kwamba kati ya vitu vinavyonifurahisha hapa Tanzania ni jinsi wasanii wetu wakubwa wanavyopigana vikumbo kwa vibibi! Kwakweli nawapongeza mno mno kwa msimamo wao huo.Ndio nimeskia hivyo . Hivi nyie wanaume mnapopoa sana jamaa au mnaona wivu anaenda kujimilikisha zigo lile hehee
Sure?Unaijua kick au unaisikia?
Hamna ndoa wala kubadili dini.
Konde siyo lofa
One of the laws of power is’ court attention at all costs’
All publicity is good publicity.
So harmonize anaitumia hii law to the maximum. Ni moja ya mbinu alizoziiba wcb.
Good for youMimi siku zote nimekua nikisema kwamba kati ya vitu vinavyonifurahisha hapa Tanzania ni jinsi wasanii wetu wakubwa wanavyopigana vikumbo kwa vibibi! Kwakweli nawapongeza mno mno kwa msimamo wao huo.
Can u imagine hali ingekuaje mitaani kama hawa wasanii wakubwa wangekuja kugombania vitoto vikali vya chuo na sisi walala hoi? Nani angeuweza huo ushindani? Sisi kajamba nani si ingebidi turudi kula mabeki tatu? Naomba wasanii muendelee na moyo huo huo wakula maajuza ili mtuache sisi tufaidi vitoto vikali huku mitaani, vikishazeeka tutawaachia.
SafiSiwezi fanya huo unao onekana ujanja na kutuzidi kete, kuna mambo mengi sana ya kubembeleza na kurudia tena na tena mpaka upate ila si "mwanamke"
Huwa jibu la kwanza la mwanamke ni sahihi sana na halitakiwi kupuuzwa, wewe kataliwa halafu jitie bingwa wa ushawishi,
JeeeeeshiiKoh kok Koh Koh ..... Yaw yaw .
Kwa kufanikisha mbususu Africans are very fuckin smart and tactical. Ushauri na vijana kuwa the same principles used to get mbususu are also applied to anything in life. Sasa kwenye maisha mtu anakuja kujiliza huku na excuses kibao. Sasa uwe patient and persistence kwa mbususu kweli. Sasa iko ivi wakati unamlilia Kuna mtu anapelekewa yaani mpaka hotel inalipiwa akaambiwa njoo ule mbususu inadunda hapa Ina kiu na wewe.Hayawi hayawi hatimaye yamekuwa. Licha ya Harmonize kupitia changamoto nyingi hakika amefanikiwa kumrudisha Kajala kwenye himaya yake tena. Licha ya kukataliwa na kublokiwa kwenye mitandao ya kijamii hakika Harmonize aliendelea kumlilia Kajala Ili aweze kurudiana naye.
IlNitapigania njia yeyote nipate hela na kufanikiwa LAKINI sio kufukuzia mwanamke, kwake hamo amewin lakini kwangu mie ni UJINGA na siwezi poteza muda kwa mambo kama hayo, we kapuku mwenzangu wa hapo Nyakanazi utaweza kuhonga mamilioni ya pesa ili kumpata mwanamke, Kajala kamkubalia jamaa coz jamaa kwenye gemu anakuja vyema bila kusahau material things jamaa kagharamia.
In a world where women outnumber men siwezi fanya huu upuuzi, wanawake ni wengi sana.
😂😂😂😂mzabzab🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 this is laughable. someone marrying damaged goods ndio waku mu admire??!!! kwa kweli sasa naanza kuamini bible, vibaya vitaonekana vizuri mbele ya macho ya mwanadamu.