ubongokid
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 2,154
- 4,184
Leo nimepita hapa maeneo ya Ilala;
Nimekuta wamasai wamejazana kwenye mabanda,nikafikiri niwalinzi kuuliza naambiwa hao ni wasusi.
Ndugu zangu wa Masai Morani mzima uliyekatwa govi bila Ganzi kweli unakaa mjini unasubiri wada msuke nywele.Halafu eti mnajitia morani.
Kweli wamasai mmepoteza dira,kuna rafiki yangu anawaita maliasili nafikri yuko sahihi kabisa
What a pity.
Nimekuta wamasai wamejazana kwenye mabanda,nikafikiri niwalinzi kuuliza naambiwa hao ni wasusi.
Ndugu zangu wa Masai Morani mzima uliyekatwa govi bila Ganzi kweli unakaa mjini unasubiri wada msuke nywele.Halafu eti mnajitia morani.
Kweli wamasai mmepoteza dira,kuna rafiki yangu anawaita maliasili nafikri yuko sahihi kabisa
What a pity.