More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

eheeee........sasa basi.......wewe njoo na zako hizo 100.....nami nije na zangu 327......za kwamba.....MMU ni sehemu salama......ya kupata mwenza.......tena naleta kwa kiswahili fasaha..........

nitafaidije huo mpambano? halali mtu leo. halafu sisi wengine tuna kiingereza za kuungaunga hadi tushtue na viroba ndo ulimi unakuwa mlaini. namsubiri amalize zilizobaki halafu unifanyie tafsiri. au vipi?
 
1. Fake name means fake future partner.

2. You must be insane, hilarious, seriously sick or even a big joke if you can't afford to find a partner out of infinite many people that physically surround you at every instant second, and dream that MMU will do a magic for you!

I will be back soon to give you the remaining reasons.

Acha fix wee umesema sababu mia halafu umeweka tusababu tuwili tu
 
mi nimefungua nikajua nitakuta 100 reasons
and I was like will I be able to read all the 100 reasons nakutana na 2 tu

nami nilitaka niweke humu uzi wa kutafuta partner wa kufa na kuzikana halafu eti nakutana na uzi kama huu.
what a disappointment!
 
Hahahaaaaa ukiona mtu mzima analia ujue Kuna jambo. Pole Mpwa wangu
 
nami nilitaka niweke humu uzi wa kutafuta partner wa kufa na kuzikana halafu eti nakutana na uzi kama huu.
what a disappointment!
usiogope weka tu, yeye kakutana na Li Tangopori huko basi anaamini jukwaaa Zima limejaa matangopori. Hajui kuwinda. Ningekuwa sijaoa mbona ningekuwa nshapata mke humu humu! Kuna mmoja nataka nizae nae mtoto....wako wengi
 
Last edited by a moderator:
Hapo sio kweli we Simplicity!!! wangu nimeopoa humu humu,,,,,,,,, Na mambo yanaenda vzr sana labda ww tu una bahati mbaya..
 
Last edited by a moderator:
usiogope weka tu, yeye kakutana na Li Tangopori huko basi anaamini jukwaaa Zima limejaa matangopori. Hajui kuwinda. Ningekuwa sijaoa mbona ningekuwa nshapata mke humu humu! Kuna mmoja nataka nizae nae mtoto....wako wengi

asante mkuu! ngoja nijipange na swaga za ukweli.
 
usiogope weka tu, yeye kakutana na Li Tangopori huko basi anaamini jukwaaa Zima limejaa matangopori. Hajui kuwinda. Ningekuwa sijaoa mbona ningekuwa nshapata mke humu humu! Kuna mmoja nataka nizae nae mtoto....wako wengi


hapo kwenye BOLD huyo sio mimi kweli
 
Back
Top Bottom