LILENDI
JF-Expert Member
- Oct 27, 2013
- 1,400
- 496
eheeee........sasa basi.......wewe njoo na zako hizo 100.....nami nije na zangu 327......za kwamba.....MMU ni sehemu salama......ya kupata mwenza.......tena naleta kwa kiswahili fasaha..........
nitafaidije huo mpambano? halali mtu leo. halafu sisi wengine tuna kiingereza za kuungaunga hadi tushtue na viroba ndo ulimi unakuwa mlaini. namsubiri amalize zilizobaki halafu unifanyie tafsiri. au vipi?