More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

Kudadadeki, wekeni na picha ( Tangopori ) zenu kabisa tuwaone nyie mapartners mlioibukia Jf , naona mnabisha tu. Najua kama mtu anatafuta mwenza huku kwa kificho atakuwa yahya tu, no way; Elli Heaven on Earth amu Ennie - mtalizwa nyie, ooohhhoooo.
 
Last edited by a moderator:
Semeni yote, lakini msiponipa uthibitisho, mfano mimi Elli na Heaven on Earth tumekutana Jf, mwaka ......., tukatongozana. Heaven on Earth alikuwa anaishi Kinondoni mie Elli nilikuwa naishi Sinza, tumeoana baada ya kuwekana kinyumba kwa miaka 2, baadaye ndoa yetu ikabarikiwa katika kanisa la mito ya baraka, na sasa tunaishi pamoja Tegeta.

Picha lazima muweke kama ni kweli, na ushahidi mwingine unaothibitisha nyie ni wahusika halisi wa tukio zima la mahusiano. Vinginevyo hakuna mahusiano yaliyoanzia Jf, na kama yapo ni feki.
 
Last edited by a moderator:
Ngoja nilale. Sishangai hadi kufikia kesho asubuhi, nikakuta huu uzi umefungwa.
 
3. Nasisitiza ya kwamba hakuna ndoa timamu inayoweza kutokana na MMU, labda kwa minajili ya kuweka rekodi ya kuoa/kuolewa au kuondoa gundu. Vinginevyo leteni ushahidi. Ni busara sana kukamata mtu barabarani na kumwambia kuanzia leo unakuwa mme/mke wangu kuliko kununua partner wako online! Amekuwa software?

CC: lara 1 Sista watu8 sister mwekundu mzabzab
 
Last edited by a moderator:
yani dogo usipoangalia JF utaiandikia urithi wako!
!khaaa tooo much!tooo much!
 
Ennie nimekucc tu dada yangu wala usimaind. I love u anyway.
 
Last edited by a moderator:
wala usijali....wewe kama umeona kuna anayekuvutia jimuvuzishe.......hii ndio JF bana.....watu tunakula malavi davi ya kufa mtu humu......halafu watu wapo romantiki.....wacha kabisa......yaani hutajutia.......yaani nataka kulia jinsi ambavyo naona hunielewi.........

basi bidada usilie....ukilia waniliza mie....Preta nyamaza wee... teh teh teh! nahisi nimeanza kukuelewa vile.
 
Tajeni hao wenza mlionao ili mtengue kauli yangu, naona mnalalama tu kwamba mmepata, watajeni kama kweli wapo. Mie sijawahi kutongoza mtu huku na sina huo mpango.

basi......tutakutongoza sisi......just the other way round........vipi hiyo.........
 
Semeni yote, lakini msiponipa uthibitisho, mfano mimi Elli na Heaven on Earth tumekutana Jf, mwaka ......., tukatongozana. Heaven on Earth alikuwa anaishi Kinondoni mie Elli nilikuwa naishi Sinza, tumeoana baada ya kuwekana kinyumba kwa miaka 2, baadaye ndoa yetu ikabarikiwa katika kanisa la mito ya baraka, na sasa tunaishi pamoja Tegeta.

Picha lazima muweke kama ni kweli, na ushahidi mwingine unaothibitisha nyie ni wahusika halisi wa tukio zima la mahusiano. Vinginevyo hakuna mahusiano yaliyoanzia Jf, na kama yapo ni feki.

naamini unafanya utafiti tu wewe ili ujiridhishe kuwa inawezekana kupata mwenza jf. kuna sehemu umesema hujawahi na wala huna mpango wa kumtongoza yeyote humu jf.
then what is eating you? are your private parts invaded by scorpions?
 
None of the relationships are sustainable, they last within minutes. We don't have an evidence for their existence either.

na wale wanaokutana nje ya mitandao, wakatongozana then wakaona, halafu ndoa inadumu hardly a month, tuseme nini? you can get the wrong or right person from any corner. hakuna formula ya kumpata mwenza ambayo kwayo lazima tuifuate. I thought your avatar hints your philosophy!
 
Back
Top Bottom