Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kudadadeki, wekeni na picha ( Tangopori ) zenu kabisa tuwaone nyie mapartners mlioibukia Jf , naona mnabisha tu. Najua kama mtu anatafuta mwenza huku kwa kificho atakuwa yahya tu, no way; Elli Heaven on Earth amu Ennie - mtalizwa nyie, ooohhhoooo.
we naeWhat do you mean hilarious? Thought that was a positive word?
wala usijali....wewe kama umeona kuna anayekuvutia jimuvuzishe.......hii ndio JF bana.....watu tunakula malavi davi ya kufa mtu humu......halafu watu wapo romantiki.....wacha kabisa......yaani hutajutia.......yaani nataka kulia jinsi ambavyo naona hunielewi.........
Tajeni hao wenza mlionao ili mtengue kauli yangu, naona mnalalama tu kwamba mmepata, watajeni kama kweli wapo. Mie sijawahi kutongoza mtu huku na sina huo mpango.
basi bidada usilie....ukilia waniliza mie....Preta nyamaza wee... teh teh teh! nahisi nimeanza kukuelewa vile.
we nae
kwani kila anayesema i love you manake nakupenda !ahahahha WENGINE WANAFANYA HOMEWORK ZA ENGLISH COURSE
hebu jitahidi bana unielewe............
Semeni yote, lakini msiponipa uthibitisho, mfano mimi Elli na Heaven on Earth tumekutana Jf, mwaka ......., tukatongozana. Heaven on Earth alikuwa anaishi Kinondoni mie Elli nilikuwa naishi Sinza, tumeoana baada ya kuwekana kinyumba kwa miaka 2, baadaye ndoa yetu ikabarikiwa katika kanisa la mito ya baraka, na sasa tunaishi pamoja Tegeta.
Picha lazima muweke kama ni kweli, na ushahidi mwingine unaothibitisha nyie ni wahusika halisi wa tukio zima la mahusiano. Vinginevyo hakuna mahusiano yaliyoanzia Jf, na kama yapo ni feki.
None of the relationships are sustainable, they last within minutes. We don't have an evidence for their existence either.
jichekee mwaya !nusura niwaamshe majirani kwa kicheko, kwikwikwikwiiiiiii!
jichekee mwaya !
mapartners wa ukwei tuwakose hata kucheka napo tushindwe
kiiisha!
enjooooy
natafuta mpenzi wa kuishi nae...!!