Inategemea bhana, hakuna aliyezaliwa akiwa anatambua atakutana wapi na mwenza wake.
We Kaizer acha kulewa asubuhi, mpaka uje Jf kumtafuta mtu usiyemfahamu, bila shaka utakuwa na uchizi wa kutosha.
Wapo wengi wenye mahaba zaidi yake. Umekutana na mmoja tu, fanya comparison.
Na huu uwongo wenu wa kumdanganya mtu mahaba unayonipa sijawahi kupata kwa mwanaume mwingine, hali umemwambia wewe hujawahi kuwa na mwanamke na bikira yako imetoka kwa sababu ya kuendesha baiskeli, nadhani source ni MMU.
Kwanza mwanaume gani ambaye unashindwa kukabili wanawake physically na kuwatongoza, badala yake uje kufanya mtandaoni huku ukiwa umejificha? Hata huyo mke utakayempata atajua wewe ni kimeo mpaka basi. Issue hapa mkuu ni namna gani na wapi ndoa inaanzia. Mkizingatia haya ninayoyasema mtatupunguzia sana tatizo la ndoa kuvunjika na majanga mengine yanayoambatana nayo.
Mitaa imejaa wanawake, Kimara, Mwenge, Posta, Knyama na kwingineko. Ukizunguka tu leo hii, nakuhakikishia kama upo vizuri unafish mmoja fasta. tinna cute liliendi christine ibrahim Cynthia Chriss
Tahadhari yako ni sawa....
Ila baada ya kukutana jf kuna ile getting to know each other better.....its not like a marriage is concluded right here....
Coming.hahaha apo nimecheka kweli, yaani umenisababishia kiu ya gafla apa ujue!
wenza"hawatafutwi" in real sense....if you set out ur day eti unaenda kutafuta mwenza.....itakula kwako....mwenza unakutana naye na hapa tunakutana binadamu wa jinsia tabia na uelewa tofauti...
nani kamwaga pombe yangu? koh koh koh
Ennie hebu come zis way kabla Asprin hajaamka, umesikia Baba V karestishwa kwenye server?
1. Fake name means fake future partner.
2. You must be insane, hilarious, seriously sick or even a big joke if you can't afford to find a partner out of infinite many people that physically surround you at every instant second, and dream that MMU will do a magic for you!
I will be back soon to give you the remaining reasons.
Tahadhari yako ni sawa....
Ila baada ya kukutana jf kuna ile getting to know each other better.....its not like a marriage is concluded right here....
Coming.
Yamemsibu yapi tena jirani yangu Baba V?
Njoo kipande hii,kuna kahawa ya kutosha umbuje. Achana naye huyo amevurugwa
Duh! Pole sana Simplicity!
Kumbuka mtu hapati alitakalo but hupata ajaliwalo!!!!
Mitaa imejaa wanawake, Kimara, Mwenge, Posta, Knyama na kwingineko. Ukizunguka tu leo hii, nakuhakikishia kama upo vizuri unafish mmoja fasta. tinna cute liliendi christine ibrahim Cynthia Chriss
Kuna watu wanatia hasira kwa kweli unajikuta tu unawapa makavu!!!!Kuna mtu alimprovoke, akaruka naye mazima iles redi ya english only chit chat..tumwombee atoke mapema
hahaha kavurugwa kwani kidogo?