More than 100 good reasons why Jf/MMU is a wrong place for you to search a partner

Nyie Kaizer na Ennie mnatukana hali mnayemtukana hamumujui, I doubt your authenticity ya kuwa wake wema. Na hili ndio ninaloliongelea. Tabia ya mtu ni kama ngozi haijifichi.
 
Last edited by a moderator:

Nakuja.
Niwekee nafasi tukae jirani ili tuwe tumekutana nje ya MMU kwa malengo ya kusifu na kuabudu.
Ubarikiwe.
 
Nyie Kaizer na Ennie mnatukana hali mnayemtukana hamumujui, I doubt your authenticity ya kuwa wake wema. Na hili ndio ninaloliongelea. Tabia ya mtu ni kama ngozi haijifichi.

Una safari ndefu!!! Ukivurugwa umetukanwa? Sihitaji kukujua kujua kuwa umevurugwa best,bandiko lako tu says it all!!!
Haya mtake radhi Kaizer kwa kumhusisha na hapo penye red!!!
 
Last edited by a moderator:
Simplicity ujue mie bado nasubiria sababu zifike 100.
Afu mpaka sasa sijajua tatizo lako ni lipi?
amu unaona sredi imeletwa huku love connect mi nina aleji nako ujue...huyu bado unamsubiria?
 
Last edited by a moderator:
Internet wives? Give me a cup of coffee please.
 
Naamini inawezekana kukutana na mtu hapa jukwaani na mkawa na Kaisha. Tatizo lako Simplicity ulitaka uliekutana nae awe na Vogue, Benzi au Verossa kama Mpwa wangu Mentor alivyosema. Jamani watu WA JF tuliowengi tuna maisha ya kawaida sana sio kweli kuwa kila mtu Yuko na goodlife kivileeee
 
Last edited by a moderator:
Nyie Kaizer na Ennie mnatukana hali mnayemtukana hamumujui, I doubt your authenticity ya kuwa wake wema. Na hili ndio ninaloliongelea. Tabia ya mtu ni kama ngozi haijifichi.

haaaaa hapo nademand an immediate and unconditional apology kwa wrong referencing ya sex apo kwanza
 
Hii iwe comment yako ya mwisho huku.
haaaaa hapo nademand an immediate and unconditional apology kwa wrong referencing ya sex apo kwanza

watoto wanakosa adabu hasa huyu Simplicity
 
Last edited by a moderator:
humu wanatongozana vidume kwa kividume we tazama nikname za humu hazioneshi kidume yupi na kisister kipi
 
Leo umeamka na busara za kimaandiko best!!

Khaa! Nilijua hii thired imekuwa closed!
Kumbe wametupelekea jukwaa la kutongozana! Lol!
Thijui bado anaitaka hii mada Simplicity!!!
...
Ennie jamani! Kumbe thku dhote hidho snaga busara! Lol!
 
Khaa! Nilijua hii thired imekuwa closed!
Kumbe wametupelekea jukwaa la kutongozana! Lol!
Thijui bado anaitaka hii mada Simplicity!!!
...
Ennie jamani! Kumbe thku dhote hidho snaga busara! Lol!


Uko nazo best ila leo zimeongezeka
 
charminglady nilimpataga chitchat ila ni humhumu jf

Namshangaa sana huyu Simplicity, hivi kwani kuna utofauti gani wa kukutana JF na sehemu zingine. Ni kama mtu anayevutiwa na mwingine akiwa katika sehemu yoyote kisha wakaanza kufahamiana taratibu mwisho wakaoana!!!!

Mtoa mada atabaki kufahamu kuwa hakuna, hebu kam zis wei tukapate breakfast my hezbend @C6.....

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…