Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
There might be such a chance, lakini ni ya uwezekano wa kushinda bahati nasibu ya Mimi ni Bingwa ya airtel kwa wiki kumi mfululizo.
Ukikutana na mwanamke/mwanaume Jf kwa kwa issue tofauti na mapenzi, may be mtu aliweka uzi akasema anauza kiwanja au shamba, au simu au kwa dili lolote la kibiashara au la kimaisha, hatimaye mkaamua kukutana (with no sexual drives attached) physically kwa minajili ya kufanikisha hilo dili na sio kutaka kuanzisha uhusiano, halafu katika kufanikisha dili lenu mkawa mmezoeana na hatimaye mkaanzisha uhusiano hapo nitakubaliana na wewe.
Lakini kuanza kumtongoza mtu MMU humfahamu kwa intention tofauti kama nilivyoeleza hapo juu, ni majanga usipime! There are several good reasons:
4. MMU watu wengi wapo desperate (wengi wao wameionja joto ya jiwe kwenye mahusiano, look at their threads) na mahusiano ambayo mengi ni kwa ajili ya kungonoana, wapo wanaotafuta wenza lakini they are doing it wrongly pia, come on, MMU sio shopping mall ya wanawake au wanaume.
5. MMU ni potential target ya akina Yahya (mtu anaweza kupretend kwa muda wa kutosha kukupata, lakini lazima ulie mwisho wa siku)
6. Kuweka uzi directly unatafuta mwenza au kuonyesha hisia wazi wazi kwamba unatafuta mwenza, you must be questionable na lazima nikuingize kwenye numbers 1 and 2, unless you are kidding.
7. The BIG question is: Mtu anayetafuta mwenza MMU ambaye hata hajulikani, inakuwaje ameshindwa kutafuta kutoka kwenye makundi ya watu anayokutana nayo?
Naenda kanisani, twendeni tinna cute Sista sister Ennie, etc.,
[/B]
hapo kwenye BOLD huyo sio mimi kweli
Simplicity ujue mie bado nasubiria sababu zifike 100.
Afu mpaka sasa sijajua tatizo lako ni lipi?
amu unaona sredi imeletwa huku love connect mi nina aleji nako ujue...huyu bado unamsubiria?Simplicity ujue mie bado nasubiria sababu zifike 100.
Afu mpaka sasa sijajua tatizo lako ni lipi?
Kuna watu wanatia hasira kwa kweli unajikuta tu unawapa makavu!!!!
Pole yake. Tumuombee tu
Internet wives? Give me a cup of coffee please.
hahahahaha.......na leo si jumapili? ndo siku yenyewe
haaaaa hapo nademand an immediate and unconditional apology kwa wrong referencing ya sex apo kwanza
humu wanatongozana vidume kwa kividume we tazama nikname za humu hazioneshi kidume yupi na kisister kipi
Leo umeamka na busara za kimaandiko best!!
Khaa! Nilijua hii thired imekuwa closed!
Kumbe wametupelekea jukwaa la kutongozana! Lol!
Thijui bado anaitaka hii mada Simplicity!!!
...
Ennie jamani! Kumbe thku dhote hidho snaga busara! Lol!
charminglady nilimpataga chitchat ila ni humhumu jf
Ha ha ha pole Kaizer!!!nimecheka sana.....haaaaa hapo nademand an immediate and unconditional apology kwa wrong referencing ya sex apo kwanza