More than serious nahitaji mume wandugu

Naheshimu Sana hisia zako kwanza mungu akufanyie wepesi mimi niko very serious Nahitaji mke njoo in box
 
Watu Kama hawa wanatakiwa kuja na mrejesho ili tuone kama hili jukwaa Lina manufaa au tunauziana chai tu
 
wapo wanaume pia ambao wanahitaj kam lako so mung atakukutanish ucjare ni vema umewek wazi
 
wapo wanaume pia ambao wanahitaj kam lako so mung atakukutanish ucjare ni vmea
 
Masharti kibao kama mganga wa kienyeji, we endelea tu kuzeeka na masharti yako.
 


Mimi la 7 lakini niko bright na ninaelewa mambo mengi sana pengine kushinda hata wewe isipokuwa kwenye Field yako tu.

Alafu punguzeni ubashite kwenye maswala ya elimue, kwahiyo uko tayari kuolewa na mtu mwenye degree ya political science lakini si certificate ya fani za medical, unazani kati ya hizo fani mbili na kwa level hizo wakisema wanatoka kwenda kutafuta ajira nani atarudi nyumbani kichwa chini.

Huwa sipendi kuzalau fani na level ya elimu ya
fani za watu wengine lakini mpaka muda huu navyo comment hapa the people the so calling them selves WASOMI they breath through oxygen machines interm of employment unless those who are scientists
 
Mume mwema hatafutwi ktk keyboard.
Hiviiiiiii watu wa mawazo Haya Huwa.mnatokeaga Choooni?? Sasa sikia wewe falaaa..wafuate JF walalamikie page hii ifungwee.Mdada wa watu keshajiekezaaa.Wewe kama huna sifa poteaaa Nendaaa kafiee mbele shetwaaaani mkubwa Sasa ndo ametafuta Na Atapata au keshapata.Kunywa Sumu.
 
Umekurupukaaaaaaa Punguza hasiraa.
 
Yani kutokuelewa kwako tangazo la Kiswahili lililoandikwa kwa lugha rahisi kunaonesha jinsi gani ulivyo na upeo mdogo wa ufahamu... Inawezekana bichwa lako limejaa sponji na ubongo wako ni mdogo kuliko ubongo wa kuku... Funga na kuomba akili yako ikue...
 
~~~>>>Hizo ni stress za kuolewa...... Njoo nikuoe mke wa 4 ili upunguze stress.....
 
0786133416. Huyu ni rafiki angu wa karibu sn. Kasoma taarifa zako ana uhtaji huo mtafute.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…