kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 2,064
- 4,056
- Thread starter
- #21
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumekucha.
Huko Babati? Akitokea wapi Mpwa? Mpwa nenda nae taratibu, wanaume halisi huwa hatuachi wanawake kwa kuanika mambo ya sirini hadharani.
Wanaume hatuandiki mambo ya wanawake hivi, akikuumiza unafanya maamuzi kimya kimya. Ukiandika hivi tutajuaje urijali wako? Achana na hizo habari katafute pesaAsante kwa ushauri mzuri
But kila nikiamua kumpotezea huwa anakuja kwangu kunisumbua
Make huwa ninafuta mpaka mawasiliano yake ili nisimtafute.
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa ushauri mkuuHuko Babati? Akitokea wapi Mpwa? Mpwa nenda nae taratibu, wanaume halisi huwa hatuachi wanawake kwa kuanika mambo ya sirini hadharani.
Huu sio u-gentleman, a real gentleman anakata tu ule mrija kimya kimya ili kesho au keshokutwa ukishikika upate pa kupunguza.
Nafaham kila kituWanaume hatuandiki mambo ya wanawake hivi, akikuumiza unafanya maamuzi kimya kimya. Ukiandika hivi tutajuaje urijali wako? Achana na hizo habari katafute pesa
Unaweza kumtag? Hivi ni kweli yule Dada anaelia kwenye ule uzi mwingine wa kuwa Unaenda kuoa ndio huyo?
Hapana, unatuangusha Wanaume! Huwezi kubishana na mwanàmke kwenye social forums, nahitaji kukufanyia counselling, nikukute PM otherwise kikao cha Wanaume kitakuzuia kuhudhuria vikao vyake kwa muda usiofahamikaNafaham kila kitu
Ila imenibidi niteme nyongo niwe fresh
Ni mtaalam Sana wa kumezea vitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo simfaham mkuuUnaweza kumtag? Hivi ni kweli yule Dada anaelia kwenye ule uzi mwingine wa kuwa Unaenda kuoa ndio huyo?
"Pia utambue kibogoyo mvuta ugoro akiwa na pesa bado kwenye mapenzi ataambiwa mate yake yananukia kama chocolate. Tutafute pesa tu mkuu"Nikianza na hapa mkuu uliposema
"Wakuu mnisamehe Sana make ndo nimegundua mwanamke hapendwi"
Hivi kweli hiyo sentensi yako ya mwisho umemaanisha au ni hasira tu!
Nakukumbusha tu hata huyo mzazi wako ambae si baba yako nae ni mwanamke, je nae humpendi??
Hawa wanawake wanatokea kutuvuruga sana mpaka tunahisi dunia yote imejazwa na MADEMU tu.
Kumbe kuna mama, shangazi, Dada na wengineo ambao huthubutu wewe km wewe kuwaita mademu.
Mkuu mtimizie huyo Mooren wako yale Mahitaji anayokuomba km ukiyompa zamani.
Pia utambue kibogoyo mvuta ugoro akiwa na pesa bado kwenye mapenzi ataambiwa mate yake yananukia kama chocolate. Tutafute pesa tu mkuu
Natema nyongo niwe sawa mkuuHapana, unatuangusha Wanaume! Huwezi kubishana na mwanàmke kwenye social forums, nahitaji kukufanyia counselling, nikukute PM otherwise kikao cha Wanaume kitakuzuia kuhudhuria vikao vyake kwa muda usiofahamika
Mkuu kweli??
Hii niliigundua mapema Sana"Pia utambue kibogoyo mvuta ugoro akiwa na pesa bado kwenye mapenzi ataambiwa mate yake yananukia kama chocolate. Tutafute pesa tu mkuu"
Nimeupenda sana huu msemo na kwa kifupi ndio ukweli wenyewe,wanaume tukiujua huu ukweli hautakuja kuumia tena.
Watu wengi huumizwa kwa kutojua huu ukweli huwa wanatumia nguvu nyingi kulinda penzi na mwisho wa siku wanapigwa chini wanakuja kuweweseka kama mtoa mada hapa.
Pata nyagi, pata pesa, maisha yaendelee! Acha kulumbana na wanawake kwenye mitandao, you won't win the battle! Watakuja kumtetea Maureen Unique Flower na Wajuba wataruka nae live live
Ndio mkuuMkuu kweli??